Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Naamini kwamba ndani ya CCM kuna wengi wenye sifa za kuwa watendaji wa CCM kutokana na uwezo wao, uzoefu wao wa kisiasa na utendaji. Kwa kuwa Rais wetu anapenda kufanya kazi na wenye sifa zifuatazo;
a) Wachapa kazi
b) Wabunifu
c) wasikilzaji ( sio wababe)
d)wenye sifa stahiki kwa nafasi
e). wasema kweli na wasio wanafiki
kwa kuzingatia sifa hizo na sifa nyinginezo, naamini wafuatao wana sifa hizo na hivyo kuweza kumsaidia vema mwenyekiti wa CCM kama wakipewa nafasi:
1. Gaudencia Kabaka
2. Thobias Mwilapwa
3.Martine Shigella
4. Anna Mngwira
5. Mpogolo
a) Wachapa kazi
b) Wabunifu
c) wasikilzaji ( sio wababe)
d)wenye sifa stahiki kwa nafasi
e). wasema kweli na wasio wanafiki
kwa kuzingatia sifa hizo na sifa nyinginezo, naamini wafuatao wana sifa hizo na hivyo kuweza kumsaidia vema mwenyekiti wa CCM kama wakipewa nafasi:
1. Gaudencia Kabaka
2. Thobias Mwilapwa
3.Martine Shigella
4. Anna Mngwira
5. Mpogolo