N NDABANINGI SITHOLE JF-Expert Member Joined Dec 2, 2020 Posts 529 Reaction score 530 Apr 25, 2021 #21 Katibu mkuu ni mtu mkubwa sana ndani ya uongozi wa ccm,katibu mkuu ni mtu wa tatu kwa madaraka baada ya mwenyekiti,makamu mwenyekiti,anaefuata ni katibu mkuu,
Katibu mkuu ni mtu mkubwa sana ndani ya uongozi wa ccm,katibu mkuu ni mtu wa tatu kwa madaraka baada ya mwenyekiti,makamu mwenyekiti,anaefuata ni katibu mkuu,
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Apr 25, 2021 #22 Mshana Jr said: CCM ni ileile Rangi ni zilezile Jina ni lilelile Wanachama ni walewale Shamba la bwana joni(sio yule) na mbuzi ni wa bwana joni..hakuna jipya Click to expand... Na nyumbu wa kijani ni walewale bendera fuata upepo
Mshana Jr said: CCM ni ileile Rangi ni zilezile Jina ni lilelile Wanachama ni walewale Shamba la bwana joni(sio yule) na mbuzi ni wa bwana joni..hakuna jipya Click to expand... Na nyumbu wa kijani ni walewale bendera fuata upepo