Baada ya maboresho ya mkataba na DP world serikali ichukue hatua kwa wote waliotuingiza mkenge

Baada ya maboresho ya mkataba na DP world serikali ichukue hatua kwa wote waliotuingiza mkenge

Keshoyangu

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2021
Posts
365
Reaction score
1,082
Serikali imekiri uwepo wa vipengele vibovu na wamekubali kukosolewa na kufanyia Kazi maoni ya wengi.Kuishia kurekebisha haitoshi kwa masilahi mapana ya walipakodi.

KWANINI wale wote waliohusika kuanzia watoa hoja/wanasheria/washauri /wabunge ambao ndio wapitisha madudu na wengine wote waliopitisha uozo huo wasichukuliwe hatua kwa makosa la kutaka kuuza Taifa, kukosa uzalendo na udanganyifu kwa Wananchi????

Na Kama wasipochukuliwa hatua Kesho tutawaamini vipi hawatatuuza tena? Ni upi uzalendo wao ktk rasimali nyingine za nchi Yetu siku zijazo????

Naiwazia Sana kesho ya Walipakodi
 
Serikali imekiri uwepo wa vipengele vibovu na wamekubali kukosolewa na kufanyia Kazi maoni ya wengi.Kuishia kurekebisha haitoshi kwa masilahi mapana ya walipako
Hatutaki DP/waarabu hapa. Tutawapinga hata kwa lolote.
 
Back
Top Bottom