Baada ya Magufuli, TANESCO wanaanza kata kata ya umeme

Baada ya Magufuli, TANESCO wanaanza kata kata ya umeme

Wakati wa magufuli umeme ulikua unakatika kama kawa. DSM walisingizia kunguru. Pale Moro sababu hapajawahi kuwekwa wazi
 
Acha kudanganya watu wewe.Una taarifa za nchi nzima au inaangalia ka eneo kako alafu unakuja na hitimisho.Umeme haujawai kuacha kukatika ovyo nchi hii ata kipindi cha Jpm bado ulikua ukikatika maeneo mbali mbali labda kama ulikua haupati taarifa tofauti na hapo ni majungu tu unataka kutuletea.
 
Hapa utambulia matusi hapa JF wengi wao ni Makamanda kindakindaki wa Mwendakiti Mbowe
 
Acha kudanganya watu wewe.Una taarifa za nchi nzima au inaangalia ka eneo kako alafu unakuja na hitimisho.Umeme haujawai kuacha kukatika ovyo nchi hii ata kipindi cha Jpm bado ulikua ukikatika maeneo mbali mbali labda kama ulikua haupati taarifa tofauti na hapo ni majungu tu unataka kutuletea.
Acha uongo weye
 
Nipo Mtwara wilaya za Mtwara,Masasi,Tandahimba na Newala tangu mwaka 2017,sioni tofauti ya kiwango cha huduma ya umeme wakati wa hayati na sasahivi.
Scenario nyingine hazina mantiki kabisa, unataka kuaminisha umma kua tanesco kipind hiki wanafanya makusudi? Vitu vingine hua viko technically, hata wakati yupo umeme baadhi ya maeneo ulikua unakatika sana mpaka jion ndo unarud. Msi aminishe watu kua mtu mmoja ndie ana uwezo wa kuongoza. Low IQ, think about it!
 
Hayati Magufuli aliwahi kujitabiria kwamba Watanzania watamkumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya.

Hii katakata ya umeme hapa Iringa Manispaa ambako tangu Magufuli afariki naona imekuwa kawaida kila siku umeme unakatwa, tena bila taarifa yoyote. Kata kata hii ilipigwa marufuku kipindi cha Magufuli na kauli yake mashuhuri kipindi akiwa hai ilikuwa "yeyote atakayekata umeme atakatika yeye" iliwafanya watendaji wa TANESCO kuwa makini muda wote, na ni kweli umeme ulikuwa stable sana enzi za JPM. Hii yote inadhihirisha umuhimu wa kuwa na kiongozi imara pale juu.

Mama Samia chonde chonde usifanye watanzania tummiss JPM zaidi ya ile kawaida. Uliahidi mwenyewe kwamba mazuri ya Magufuli utayaendeleza lakini tangu umekalia kiti haijasikika sauti yako thabiti juu ya upuuzi puuzi kama huu wa Tanesco kukata umeme mara kwa mara namna hii.
huku arusha na moshi toka mwendazake amesepa mawinguni tumeshasahau mgao wa umeme
 
Hayati Magufuli aliwahi kujitabiria kwamba Watanzania watamkumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya.

Hii katakata ya umeme hapa Iringa Manispaa ambako tangu Magufuli afariki naona imekuwa kawaida kila siku umeme unakatwa, tena bila taarifa yoyote. Kata kata hii ilipigwa marufuku kipindi cha Magufuli na kauli yake mashuhuri kipindi akiwa hai ilikuwa "yeyote atakayekata umeme atakatika yeye" iliwafanya watendaji wa TANESCO kuwa makini muda wote, na ni kweli umeme ulikuwa stable sana enzi za JPM. Hii yote inadhihirisha umuhimu wa kuwa na kiongozi imara pale juu.

Mama Samia chonde chonde usifanye watanzania tummiss JPM zaidi ya ile kawaida. Uliahidi mwenyewe kwamba mazuri ya Magufuli utayaendeleza lakini tangu umekalia kiti haijasikika sauti yako thabiti juu ya upuuzi puuzi kama huu wa Tanesco kukata umeme mara kwa mara namna hii.
Acha unafiki wewe, toka mwaka jana wakati Magufuli yupo kuna thread zaidi ya 20 humu tunalalamika kukatika kwa umeme. Usitake kumtetea mtu anaeteketea motoni!
 
Hayati Magufuli aliwahi kujitabiria kwamba Watanzania watamkumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya.

Hii katakata ya umeme hapa Iringa Manispaa ambako tangu Magufuli afariki naona imekuwa kawaida kila siku umeme unakatwa, tena bila taarifa yoyote. Kata kata hii ilipigwa marufuku kipindi cha Magufuli na kauli yake mashuhuri kipindi akiwa hai ilikuwa "yeyote atakayekata umeme atakatika yeye" iliwafanya watendaji wa TANESCO kuwa makini muda wote, na ni kweli umeme ulikuwa stable sana enzi za JPM. Hii yote inadhihirisha umuhimu wa kuwa na kiongozi imara pale juu.

Mama Samia chonde chonde usifanye watanzania tummiss JPM zaidi ya ile kawaida. Uliahidi mwenyewe kwamba mazuri ya Magufuli utayaendeleza lakini tangu umekalia kiti haijasikika sauti yako thabiti juu ya upuuzi puuzi kama huu wa Tanesco kukata umeme mara kwa mara namna hii.
Itakuwa ni hujuma maana Mh Rais haja badilisha utawala hapa.
Bado ni Sukuma gang linaongoza hii wizara. Ndio maana tuna taka Mh. Rais abadili wafuasi wa mwenda zake wote.
 
Back
Top Bottom