Tetesi: Baada ya Makamba, mabalozi watatu, wakuu wa mikoa watatu na wakuu wa wilaya saba kutumbuliwa

Makamba was a well-written-off Page on the wall. Alipewa uwaziri kwa mbinde, wazee walipanga foleni,kama shukurani kwa kazi yake nzuri 2015 from Masaki TC. Then, it was just a matter of time tu, ili AFURUSHWE. Nakumbuka hadithi yake na FILIKUNJOMBE na Uwaziri mkuu, what happened?
 
huyu jamaa siku akiondoka madarakani itakuwa kama "gombania goli", kila mtu akitaka pa kutoboa - mwenye kutaka kutoboa jicho haya, kata vidole haya, ng'oa meno haya.....
 

Hofu,woga,uwezo duni,kutokupendwa,ushamba,etc ni shida sana!
 
S
Slaa yumo? Nitafurahi akiwemo kutumbuliwa
 
Wanaruka na kukanyaganaaa...safi sana!! Member kasema chama vipande vinne sio viwili na uzi na sindano yakuunganisha hamna kumbe walikua kama pazia dah.
 
huyu jamaa siku akiondoka madarakani itakuwa kama "gombania goli", kila mtu akitaka pa kutoboa - mwenye kutaka kutoboa jicho haya, kata vidole haya, ng'oa meno haya.....
Da mange anasema huyu Mzee anaandaa mazingira ya kudum madarakan
 
Huyo nduli ajitumbue mwenyewe kachokwa kila kona. Wapi chupaki polepole na bashiru!?

 
Wanasema kama ni vitani ukigundulika wewe ni msaliti wanajeshi huwa wanajua cha kufanya,msaliti hatakiwi kusurvive
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…