Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
The fear of unknown inamtafuna mwenyekiti na his inner circle. Mambo mengine wala hayahitaji hasira na tumbuatumbua hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo avatar yako ni picha ya nani?S
Slaa yumo? Nitafurahi akiwemo kutumbuliwa
ba ngosha kama kawaida wakipewa nafasi ya kuwa juu huwa hawapendi kufanya ujinga, nawaaminia....wanaume wa kweli wenye misimamo thabiti kwa kile wanachokiamini. Banghosha oyeeee!
wengine vichwa vizito jamani tutajie hata jina la kwanza tu la ndugu balozi ili tusiwe wa mwisho kupata habari motomotoKuna balozi mmoja wa nchi jirani, ana kashfa nyingi sana aliwahi kushika nafasi ya juu kweny chama. Nasikia yuko kweny list ya wanaofuatiliwa na zamu yake kuliwa imefika. Maendeleo hayana vyama. Kudadadekiiiii
wengine vichwa vizito jamani tutajie hata jina la kwanza tu la ndugu balozi ili tusiwe wa mwisho kupata habari motomotoKuna balozi mmoja wa nchi jirani, ana kashfa nyingi sana aliwahi kushika nafasi ya juu kweny chama. Nasikia yuko kweny list ya wanaofuatiliwa na zamu yake kuliwa imefika. Maendeleo hayana vyama. Kudadadekiiiii
Ameenda kujenga kwao kwanzaha ha ha
koroshow huku alituambia atazinunua Hadi Leo tunashangaa shangaa nazo tuh hapa
yaani kulia tunataka na kucheka pia tunatakaa
hatari sana
Da Mange anasemaje?Laana inawatafuna hawa watu na lichama lao!!
Safi sana ,untouchable now touchable,
Well done Magufuli
Watakuelewa tu JPM, nchi iko na mkuu wa nchi mmoja tu, urais hauna ubia.
Mimi namhisi mmoja.......Balozi ######
Mkuu ni lini mnawapa kesi ya uhaini wastaafu ?Safi sana ,untouchable now touchable,
Well done Magufuli
Kagame ameuwa wote waliomsaidiaAnachokifanya ni kutumia madaraka yake kujenga ngome yake na wala sio maslahi ya Taifa.