Baada ya malalamiko mengi hatimaye barabara ya Mwanagati imemwagwa vifusi na kusawazishwa

Baada ya malalamiko mengi hatimaye barabara ya Mwanagati imemwagwa vifusi na kusawazishwa

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Salaam Wakuu,

Kwanza kabisa niwashukuru JamiiForums kwa kupaza sauti yetu ya ubovu wa barabara uliokuwepo kuanzia kipande cha Kwa Mpalange mpaka Mwanagati.

Barabara hii ilikuwa mbaya kupitiliza, ilikuwa ni ngumu sana kwa daladala kufanya kazi bila kuharibikiwa vyombo vyao mpaka walilazimika kupandisha kiwango cha nauli.

Hatimaye baada ya malalamiko yetu Soma: KERO - Barabara za Mwanagati hazipitiki msimu huu wa mvua. Magari yanaharibika. Daladala zinalazimika kupandisha nauli mamlaka husika zimesikia na kuleta kifusi na kusawazisha barabara hiyo. Kwa sasa barabara inapitika vizuri.

Asanteni sana.

PIA SOMA
- Baada ya kelele za Wananchi, barabara ya Mwanagati yaanza kutengenezwa

- Hali ya barabara kwa wakazi wa Mwanagati inasikitisha


1717793175087.png


1717793073694.png


 
Barabara zote zimemwagwa lami hata huku chanika ni hivyo ilitengwa mabilioni kurejesha miundombinu kwenye hali nzuri baada ya mvua kubwa
2025-2030 Samia Suluhu Hassan anafaa sana
 
Miaka 60 ya uhuru, uchumi wa Kati bado tunajivunia Barabara ya matope?
Salaam Wakuu,

Kwanza kabisa niwashukuru JamiiForums kwa kupaza sauti yetu ya ubovu wa barabara uliokuwepo kuanzia kipande cha Kwa Mpalange mpaka Mwanagati...
 
Back
Top Bottom