Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Salaam Wakuu,
Kwanza kabisa niwashukuru JamiiForums kwa kupaza sauti yetu ya ubovu wa barabara uliokuwepo kuanzia kipande cha Kwa Mpalange mpaka Mwanagati.
Barabara hii ilikuwa mbaya kupitiliza, ilikuwa ni ngumu sana kwa daladala kufanya kazi bila kuharibikiwa vyombo vyao mpaka walilazimika kupandisha kiwango cha nauli.
Hatimaye baada ya malalamiko yetu Soma: KERO - Barabara za Mwanagati hazipitiki msimu huu wa mvua. Magari yanaharibika. Daladala zinalazimika kupandisha nauli mamlaka husika zimesikia na kuleta kifusi na kusawazisha barabara hiyo. Kwa sasa barabara inapitika vizuri.
Asanteni sana.
PIA SOMA
- Baada ya kelele za Wananchi, barabara ya Mwanagati yaanza kutengenezwa
- Hali ya barabara kwa wakazi wa Mwanagati inasikitisha
Kwanza kabisa niwashukuru JamiiForums kwa kupaza sauti yetu ya ubovu wa barabara uliokuwepo kuanzia kipande cha Kwa Mpalange mpaka Mwanagati.
Barabara hii ilikuwa mbaya kupitiliza, ilikuwa ni ngumu sana kwa daladala kufanya kazi bila kuharibikiwa vyombo vyao mpaka walilazimika kupandisha kiwango cha nauli.
Hatimaye baada ya malalamiko yetu Soma: KERO - Barabara za Mwanagati hazipitiki msimu huu wa mvua. Magari yanaharibika. Daladala zinalazimika kupandisha nauli mamlaka husika zimesikia na kuleta kifusi na kusawazisha barabara hiyo. Kwa sasa barabara inapitika vizuri.
Asanteni sana.
PIA SOMA
- Baada ya kelele za Wananchi, barabara ya Mwanagati yaanza kutengenezwa
- Hali ya barabara kwa wakazi wa Mwanagati inasikitisha