Kwanza kabisa niwashukuru JamiiForums kwa kupaza sauti yetu ya ubovu wa barabara uliokuwepo kuanzia kipande cha Kwa Mpalange mpaka Mwanagati.
Barabara hii ilikuwa mbaya kupitiliza, ilikuwa ni ngumu sana kwa daladala kufanya kazi bila kuharibikiwa vyombo vyao mpaka walilazimika kupandisha kiwango cha nauli.
Barabara zote zimemwagwa lami hata huku chanika ni hivyo ilitengwa mabilioni kurejesha miundombinu kwenye hali nzuri baada ya mvua kubwa
2025-2030 Samia Suluhu Hassan anafaa sana