Baada ya malalamiko mengi Mkandarasi wa Reli ya SGR atangaza kufuta mpango wa kupunguza Wafanyakazi

Baada ya malalamiko mengi Mkandarasi wa Reli ya SGR atangaza kufuta mpango wa kupunguza Wafanyakazi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Yapi.jpeg

KUFUTWA KWA ZOEZI LA UPUNGUZAJI WAFANYAKAZI

TAREHE 23/10/2023

KWA: YAPI MERKEZI INSAAT VE SANAVIAS TABORA MAKUTOPORA

Rejea kichwa cha habari hapo juu

Kufuatia malalamiko mengi kuhusa zoezi hili hasa namna ya uchaguzi wa waathirika wa zoezi hili, Uongozi umefuta zoezi hili hadi pale utaratibu mwingine (Mfano LIFO, FIFO na mingine) itakapo fikiwa na kukubaliwa kwa njia ile ile ya majadiliano na makubaliano, kwa sasa zoezi upunguzwaji halipo.

Ikiwa utahitaji msaada wowote zaidi au una maoni yoyote kuhusu yaliyoelezwa hapo juu, tafadhali jisikie huru kayaleta wakati wa vipindi vya mashauriano.

Imetolewa na.

IDARA YA RASILIMALI WATU YAPI MERKEZI INSAAT VE SANAYI MRADI WA NJIA YA TRENI MAKUTOPORA TABORA 23/10/2023

Soma taarifa ya awali - Mkandarasi wa SGR (Yapi Merkezi) atoa tangazo la kupunguza Wafanyakazi 525
 
Bado, mpaka kile kikampuni cha wachaga kifungwe, nilikilaani
 
Back
Top Bottom