Baada ya Manny Pacquiao kuupinga ushoga, Nike wavunja mkataba

Baada ya Manny Pacquiao kuupinga ushoga, Nike wavunja mkataba

Mpango wa Chip Baadhi ya Watu wanaoshirikiana na hao hao Zionist Criminals wamejitolea kuwekewa hizo Chip lkn wananchi wengi wamekataa hii kitu..

Na kuhusu Wayahudi kutafunana ni balaa tupu.

Miaka ya nyuma Newyork iliongoza kwa ile SIKU KUU ya MASHOGA.
Gay parade. (Mkusanyiko wa mashoga duniani) lkn Hivi sasa TEL AVIV ndio Inayo Ongoza DUNIANI.

kuna MASHOGA waliojiandikisha ZAIDI ya 500,000 Wananchi wa ISRAEL.

Hii ni Moja ya Sherehe Hio ya MASHOGA iliofanyika TEL AVIV.
ILIKUWA ni Kubwa Dunia haijawahi Kuona.

Hapo ni Kutafunana kwenda mbele.

Tel Aviv trumps New York to be named world's best gay city

WORLD'S TOP GAY CITIES

The most popular destinations for gay travellers, as voted for by readers of GayCities.com, are:

1. Tel Aviv - 43 per cent

2. New York - 14 per cent

3. Toronto - 7 per cent

4. Sao Paolo - 6 per cent

5= London - 5 per cent

6. Madrid - 5 per cent

7. New Orleans - 4 per cent

8. Mexico City - 4 per cent
Mkuu umesahau Palestina nayo pia
 
Wazungu ni wehu hili swala la kulana uroda jinsia moja sio sahihi kabisa
 
Manny Pacquiao.... bora umewachana live..! Wanakera sana hawa watu... lol!
 
Tazama huyu kenge kaisha kimbilia kwenye Udini.
Leta ushahidi km niliokuletea mimi.
Usilete ubishi wa kitoto.
Au na wewe ni Mboga ya myahudi tayari?
Tambua waonekana kituko kwa kunishambulia me binafsi paspo kutafuta suluhu ya mm kuandika ivyo lkn unajitoa akili na kuonekana kituko jamvin mm sitokujibu tusi la aina yyte sabb me ni mwislam safi
 
Tambua waonekana kituko kwa kunishambulia me binafsi paspo kutafuta suluhu ya mm kuandika ivyo lkn unajitoa akili na kuonekana kituko jamvin mm sitokujibu tusi la aina yyte sabb me ni mwislam safi
Teh teh teh.
Muislamu safi au sio?
Dah... muislamu safi anauliza km kuna mashoga Palestina?
Sasa ukishajua kuna mashoga huko ukafanyaje sasa!

Teh teh teh mijitu mingine hata Uongo haijui.
Soma Data za uhakika hapo Juu. Acha bla bla.
Muislamu anaitwa Wembee?
 
Ninampa 5 Manny binadamu mashoga na lesbians ni zaidi ya wanyama,huu ni ujinga na dhambi kubwa kuendekeza uchafu huu uliokubuhu kwa kigezo cha maendeleo na haki za binadamu.....its not acceptable to any African Society,tuwaachie hawa Wazungu wajinga sana
 
Teh teh teh.
Muislamu safi au sio?
Dah... muislamu safi anauliza km kuna mashoga Palestina?
Sasa ukishajua kuna mashoga huko ukafanyaje sasa!

Teh teh teh mijitu mingine hata Uongo haijui.
Soma Data za uhakika hapo Juu. Acha bla bla.
Muislamu anaitwa Wembee?

Naomba utambue me nasimamia ukweli siku zote na ukweli unaniacha kua mtu huru na nitasema mbka vile vinavyohusu imani yangu ya kislam


Kuhusu kuitwa wembeee ni fake I'd sio jina langu la kweli
 
Nike ipo kibiashara imeona kwa kauli hiyo wasipochukua hatua wao ndio watapata hasara. Walichofanya ni kumtoa Manny then wao wanakuwa kwenye safe side
kweli, Nike wana mind business yao, sio itikadi za dini
 
Naomba utambue me nasimamia ukweli siku zote na ukweli unaniacha kua mtu huru na nitasema mbka vile vinavyohusu imani yangu ya kislam


Kuhusu kuitwa wembeee ni fake I'd sio jina langu la kweli
We km unautamani Uislamu si uingie tu.
Toka lini waislam waandika ki galatia galatia namna hii?
 
Man p hongera sana nimeamua kuwa mshabiki wako baada ya misimamo yako
 
Kweny CV siku hizi Wazungu hawataki uandike Marital status kama married or single wanataka uandike Sex orientation I.e uoneshe kama ni mfuasi wa mapenzi ya jinsia moja au jinsia mbili tofauti!
Dunia Imeshakata kona ya mwisho tunasubiri ifike kituoni tushuke!


Yaani juzi juzi tu nlikua najiuliza ila swali kuna mtandao mmoja wa uingereza nlikua najiunga, kwenye machaguzi ya jinsia wameweka

Male-female-other.

Nilishangaa iyo 'other' sana.
 
Bingwa wa ndondi, mbunge na raia wa Philipiness Manny Pac amevunjiwa mkataba wake na kampuni ya Nike baada ya yeye kuwafananisha watu wanaoshiriki matendo ya ndoa ya jinsia moja kama "wanyama".

Hali hiyo ilitokea wakati bondia huyo akihojiwa na majibu yake yalikuwa kama hivi:

“Do you see animals mating with the same sex? Animals are better because they can distinguish male from female. If men mate with men and women mate with women they are worse than animals.”

Baada ya majibu hayo, watu mbalimbali duniani na wanaharakati wa mapenzi ya jinsia moja walitoka hadharani na kumlaumu sana Manny Pacq, lkn yeye aliwajibu na kusema;

"I rather obey the Lord's command than obeying the desires of the flesh. Im not condemning anyone, but I'm just telling the truth of what the Bible says. The truth from the Bible is what changed me from my old ways. 1 Corinthians 6:9 "[9] Or do you not know that wrongdoers will not inherit the kingdom of God? Do not be deceived: Neither the sexually immoral nor idolaters nor adulterers nor men who have sex with men." God Bless everyone i love you all.

Baada ya kauli hiyo ya Manny ya kuupinga ushoga, leo kampuni kubwa ya vifaa vya michezo ya Nike imetoa tamko na kusema:

"Nike strongly opposes discrimination of any kind and has a long history of supporting and standing up for the rights of the LGBT community," Nike said in a statement. “We no longer have a relationship with Manny Pacquiao.”

Baada ya kauli hii, mtandao wa kampuni ya Nike umeondoa picha na matangazo yote yaliyokuwa yanamuhusisha Manny Pacq na kampuni yao.
Hapo ndipo mjue ya kuwa makampuni,mabenki na baadhi ya wazungu ni mashaitwani! Kuna uhusiano gani kati ya ushoga na biashara? Hapo utapata jibu kuwa shaitwan ndo mmiliki wa hayo makampuni yanayotetea usenge
 
Duh tatizo sina uhakika kama hizi Nike merchandise ambazo natinga ni orijino ila ngoja na mimi niachane nao tu hakuna namna kama nilivyoacha kuangalia movie za mashoga.
 
Back
Top Bottom