Baada ya Masanja kutumia picha za miradi ya Lesotho kuisifia Serikali ya awamu ya tano, Msemaji wa Serikali naye kaja na upotoshaji huu

Baada ya Masanja kutumia picha za miradi ya Lesotho kuisifia Serikali ya awamu ya tano, Msemaji wa Serikali naye kaja na upotoshaji huu

Chief Kabikula

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2019
Posts
7,567
Reaction score
9,037
Kisa hiki hapa kachukua picha miradi mikubwa ya mabwawa ya umeme Ehiopia na Lesotho anadanganya kwenye posti zake kuwa ni mradi wa Stiegers Gorge Tanzania.​
IMG_20200807_232927.jpg
IMG_20200807_232911.jpg
IMG_20200807_231332.jpg

1596833711319.png
 
Toa na maelezo mkuu mbona Kama unakimbizwa?

Huyo mchungaji Masanja kaumbuka vipi maana si kila mtu anamfuatilia kwenye page zake huko Instagramuni!
Tayari nimerekebieha nilikuwa busy kidogo kachukua picha za miradi ya mabwawa ya umeme Lesotho na Ethiopia anadanganya ni Stiegers Gorge ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom