Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajasema imefikia hivyo lakini ukiangalia ile michoro yao, hivyo ndivyo bwawa litakavyoonekana. Kaumbukaje?Uongo uliomponza huu hapa
View attachment 1530419
Jamaa mmoja alitaka kuwa rubani lakini akaishia kuwa mfugaji wa kuku...anyway ndege ni ndege[emoji23][emoji1787]Huyo Masanja ni mchungaji wa kuku.
Huyu dada ni mkurupukaji tu kama viongozi wengi tu upinzani. Anajidadavua kama mwenyekiti wa BAVICHA TEMEKE.
Hivi kwa nini hawa CCM wanahangaika sana.maelezo hayajitoshelezi
Huwezi ukasema wewe ni YESU watu wakakuacha tu,uongo lazima ukosolewe na upingweUnaweza kuta mtoa Mada ndiye Masanja mwenyewe..
Sijawahi elewa hawa watu wana tija gani kwenye jamii hata kuanza kuwafuatilia.
Wasanii wengi bongo ni waharifuKisa hiki hapa kachukua picha miradi mikubwa ya mabwawa ya umeme Ehiopia na Lesotho anadanganya kwenye posti zake kuwa ni mradi wa Stiegers Gorge Tanzania.View attachment 1530325View attachment 1530326View attachment 1530328
Mchungaji wa kuku labda.Jamaa ni boya sana. Mchungaji ni wa kupuuzwa tu
Masanja ametoa credit ya source ya picha?Huyu dada ni mkurupukaji tu kama viongozi wengi tu upinzani. Anajidadavua kama mwenyekiti wa BAVICHA TEMEKE.
Hapo Masanja kadanganya nini na wapi?
Kasema imefikia hivyo lakini ukiangalia ile michoro yao, hivyo ndivyo bwawa litakavyoonekana.
Ukimuuliza huo umeme ukikamilika atapinga kuutumia? Siasa nyingine za kishenzi shezi tu.
Si aeleze mipango yao mbadala ya kuruletea umeme utakaokuwa na bei nafuu zaidi ya huo wa Rufiji?
Ila kwakuwa hakuna sera mbadala, kaamua amshambulie mtu binafsi.
Huyu anausaka ukuu wa mkoa kwa kusifia uchungani hali tete hakuna sadaka
Huyu jamaa hajaacha utapeli tu? Na kundi kubwa analolitapeli kifikra Ni ccm
Atakuwa anatafuta viti maalumu.
Jibu hojaMisukule ya Lissu kazini