Baada ya Masanja kutumia picha za miradi ya Lesotho kuisifia Serikali ya awamu ya tano, Msemaji wa Serikali naye kaja na upotoshaji huu

Toa na maelezo mkuu mbona Kama unakimbizwa?

Huyo mchungaji Masanja kaumbuka vipi maana si kila mtu anamfuatilia kwenye page zake huko Instagramuni!
Tayari nimerekebieha nilikuwa busy kidogo kachukua picha za miradi ya mabwawa ya umeme Lesotho na Ethiopia anadanganya ni Stiegers Gorge ya Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…