Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

Leadership vacuum, ukiona taasisi ina kiongozi wa juu na katika nafasi yake sio official spokesperson jua utamaduni wa kufanya mambo hovyo pia ndio mwanzo wa mambo kama haya; on those lines vyama vya siasa ovyo, taasisi za dini ovyo.

Nchi zingine vunja utamaduni wa kufanya mambo katika kiwanda cha kutengeneza box tu ajira inaota mabawa hivihivi; by the time unafikia kwenye hizi taasisi za dini wachungaji are expected to stay in line with official tenets of doing things.

Hivi hawa wachungaji na masheikh awana viongozi kwenye taasisi zao na wao wanasemaje kuhusu haya maswala maana kama vile yanaonekana yanabaraka ya Taasisi nzima; only in Afrika ndio maana kutwa kucharazana na machete utaratibu wa kufanya mambo aueleweki ingawa hupo kwenye maandishi lakini aueshimiki meaning most of these institutions are weak or leaders who cant command.

If you dont stand for something you will fall for anything; ndio maana nina amini despite his other weaknesses bwana Mbowe is a natural commander upuuzi wa kujianzia CDM auvumiliwi be it kimisingi ya mila zao zenye element za kaskazini.
 
Eti vi kanisa njaa na wachungaji wa vifuko vya malboro pamoja na mashehe ubwabwa ndio viongozi wa dini wanaomfagilia Mfalme Jeta wa Monduli.
Lowassa kama wewe ni chaguo kweli kawahonge mapadre waje kukusihi uwe rais. Huna huo ubavu. Hata wachungaji wa makanisa serious kama Lutheran (ingawa na wewe ni mlutheri) hawawezi kuja kwako. Utabaki na madhehebu ya vibanda umiza, na mashabiki wasio na ubongo vichwani
 
Hao ni wale waliokuwa wanapokea michango ya uzinduzi wa kwaya na ujenzi wa makanisa. Walikula rushwa hao wachungaji.
 
Kwani lowasa amepewa pesa na masheikh au uislam? Tumia akili we shoga hizo ni plopaganda eti unaita uislam kidini kidogo kafiri mkubwa
 
hao mapadre hela zao si ni sadaka zenu.PENGO ,KILAIN cio mapadre au wewe unaumwa nini?? viongozi wa dini TZ ni omba omba na wanalubunika ispokuwa mwl.mwakasege na wengine wachache
 
Watu kama wewe wanaotukana watume wa Mungu ni wapumba..vu na wajinga
 


The boy is simply shining Edo's shoes!
 
Hivi kweli tumefikia hatua hii kama Taifa.......mpk viongozi wetu wa dini nao wameingia kwenye huo mkumbo?
MUNGU ATUSAIDIE.

Mungu Yupi sasa?
Hivi huyu Mzee anashida ganiii?
Walimwita mwizi wa Mali ya Umma,Fisadi na Majina mengine yote mabaya Lakini Mbona hafikishwi Mahakamani kwa Miaka takribani Kumi sasa.
Huyu Mzee anapambana na chama Dola ,Wana Polisi,Usalama,TAKUKURU, TRA hivi kwanini serikali isitumie hivi vyombo vyote wazibiti Wzi,Ufisadi,Ukwepaji Kodi wa Huyu jamaa?
I can conlude like this,
LOWASA HE IS CLEAN MAN AND HE IS OUR CHOICE,
iTS ONLY THIEVES WHO ARE WORIED O HIM,
We wish you all the Best Mzee na tunajua Wezi wote wa Rasilimali za nchii hii wata vuna walichopanda na ndowanaopambana na wewe.

USIPOKUBALIKA HAPA DUNIANI NAKWAMBIA HATA MBINGUNI HUWEZI KUKUBALIKA.
God bless you EDDO
 
Masheikh waliitwa Masheikh Ubwabwa...
Hawa Watakuwa Wachungaji nguruwe
 
Leteni ushaidi kuwa Lowasa anatumia hela kuwalagahi watu, otherwise mi nawaona wazushi tu
 
dah...nchi ya kitu kidogooo..... ukitaka pesa ewe bwana nenda Monduliiii
 
Kwani wakikutana mpk wakupe taarifa?

Kwanini walipoenda kwa Lowasa imekuwa habari? Huu ni usanii tu,nasubiri baraza la Maaskofu Katoliki TEC nione wao kama Baraza watafanya undezi huu,ila Kilaini simwamini anaweza jitoa mhanga
 

Aliyesema ni January Makamba, kada wa CCM....Sio mimi.
 
Simchukii Edward Lowassa, namtakia heri yeye na Watanzania wengine wote ambao watawania kiti cha urais hapa nchini. Lakini kama taarifa za baadhi ya Wachungaji kwenda kumpigia magoti LOWASA eti akawanie kiti cha urais basi inatisha!! Muache kondoo, muende mkampigie magoti mwanasiasa eti awanie urais? Kweli?

NAFASI YA UCHUNGAJI: Uchungaji sio cheo, sio wadhfa, hii ni rank ya KIMUNGU inayozidi rank za kisiasa na utawala wa kidunia!! Tumewezwa kiasi hiki?
Nawaambieni ukweli, hapa kuna kitu kinaendelea, wala si bure? Tumefika mahali pa kwenda kuwapigia magoti wawanie nafasi za urais? Ili iweje? Kila la heri Lowasa, lakini kwa hili la Wachungaji kuna jambo nyuma ya pazia!


source

MCH. OVERCOMER DANIEL.
 
Kwani lowasa amepewa pesa na masheikh au uislam? Tumia akili we shoga hizo ni plopaganda eti unaita uislam kidini kidogo kafiri mkubwa
We kitumbua cha waarabu. Umefika walau la saba kweli? Hata kusoma hujui au ndio elimu ya madrasa? Ndiko hata neno ushoga ulikojifunzia maana waalimu wenu ndio zao hizo
 
Yani we ndo kiraza kabisa
Hoja yako uliyoileta yakishoga
Leo mashoga wanaenda kwa lowasa jiandae uende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…