Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kuna maneno huwa natamani niwaite CCM ila basi tu. Hongera sana LissuFAKE FAKE FAKE!!! Haya sio maneno yangu na hiyo ni account FAKE! Imeandikwa, Usimshuhudie jirani yako uongo-Lazaro Nyalandu on twitter
View attachment 1526432
Ampongeza Lissu:
PONGEZI SANA kaka Mh.Tundu Lissu kwa USHINDI wa KISHINDO ulioupata BARAZA KUU CHADEMA kuwa Mgombea Urais kupitia Chama Chetu. Nakupongeza kwa dhati na tutashirikiana kuhakikisha Chama Chetu kinashinda Oktoba 28, 2020-Lazaro Nyalandu on twitter.
Hawatapata usingizi kamwe, wajumbe wamewaletea shida isiyotatulika kirahisi! Kuna mdau atakufa kwa BP wasingizie COVID-19!MATAGA wanahangaika,na leo hawalali.
Mwache akae, unataka nini?chadema mtajifunza lini sijui,Nyalandu yupo hapo kimaandiko
Bashite umeomba kumlinda kama utahitajika any time hata saa tisa usiku. Umesema hayo wakati unakabidhi ofisi ya mkuu wa mkoa kwa kinyongo.Nyalandu sio chizi kama wale wengine. Anawajua wasiomtakia mema.
Meko ajiandae kufungasha virago pale Chamwino. Propaganda za kipuuzi hazina nafasi mara hii.
Mlivyomchinja mhamiaji toka CCM ndivyo waliohama CDM walivyochinjwa na wajumbeFAKE FAKE FAKE!!! Haya sio maneno yangu na hiyo ni account FAKE! Imeandikwa, Usimshuhudie jirani yako uongo-Lazaro Nyalandu on twitter
View attachment 1526432
Ampongeza Lissu:
PONGEZI SANA kaka Mh.Tundu Lissu kwa USHINDI wa KISHINDO ulioupata BARAZA KUU CHADEMA kuwa Mgombea Urais kupitia Chama Chetu. Nakupongeza kwa dhati na tutashirikiana kuhakikisha Chama Chetu kinashinda Oktoba 28, 2020-Lazaro Nyalandu on twitter.
Wahamiaji wabaya wao wajumbe, iwe CCM au ChademaLazaro na libasi lote lile lenye picha yake. Kazunguka mikoa yote huku mtu aliyekuwa kajikalia Ugaibuni kamshinda.
Kweli siasa ni siasa.
Mbona wewe huleti hiyo tweet isiyo fake ?FAKE FAKE FAKE!!! Haya sio maneno yangu na hiyo ni account FAKE! Imeandikwa, Usimshuhudie jirani yako uongo-Lazaro Nyalandu on twitter
View attachment 1526432
Ampongeza Lissu:
PONGEZI SANA kaka Mh.Tundu Lissu kwa USHINDI wa KISHINDO ulioupata BARAZA KUU CHADEMA kuwa Mgombea Urais kupitia Chama Chetu. Nakupongeza kwa dhati na tutashirikiana kuhakikisha Chama Chetu kinashinda Oktoba 28, 2020-Lazaro Nyalandu on twitter.
Watahangaika sana. They are under panic! They are creating face accounts. We shall see more coming. Let CHADEMA prepare for the worst.FAKE FAKE FAKE!!! Haya sio maneno yangu na hiyo ni account FAKE! Imeandikwa, Usimshuhudie jirani yako uongo-Lazaro Nyalandu on twitter
View attachment 1526432
Ampongeza Lissu:
PONGEZI SANA kaka Mh.Tundu Lissu kwa USHINDI wa KISHINDO ulioupata BARAZA KUU CHADEMA kuwa Mgombea Urais kupitia Chama Chetu. Nakupongeza kwa dhati na tutashirikiana kuhakikisha Chama Chetu kinashinda Oktoba 28, 2020-Lazaro Nyalandu on twitter.
chadema mtajifunza lini sijui,Nyalandu yupo hapo kimaandiko
Hiyo tweet ni yake kafikisha ujumbe kwa chadema,asijifanye kukanusha 😕
Huyu new jesus in town amewatia watu wengi majaribuniHicho ni kitengo mahsusi chini ya Polepole. Ndio wale walikuwa wanatengeneza tuzo fake za Magufuli eti huko South Afrika kidogo zifukuzishe kazi watu TBC1 baada ya kuzishabikia habari hizo za aibu bila kuchunguza mwaka 2017.
CCM haina huo muda wa kuwafanyia propaganda watu waliofeli tayari nyalandu alijua atapita lile ni dongo kwenuUjumbe gani wakati kapata kura 8%? Ccm mna propaganda za kizee ile mbaya.