Makiri Unguluma
JF-Expert Member
- Jul 21, 2011
- 987
- 335
Haki huinua taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki huinua taifa
Ndugu,
Mimi sikuwa msimamizi wa kura na kwa maana hiyo, sifahamu lolote zaidi ya official results kama zilivyotolewa bungeni.
Ingefaa uwaulize zaidi hao wanaotoa hayo madai labda wana majibu yatakayo waondoa wasiwasi.
Hivi definition NZURI ya kuwa na MUAFAKA ni nini zaidi ya kupata 2/3 ya wawakilishi wa kitaifa?
Freedom for what? Are you among the few Tz who has been completely brainwashed by Mr. Zero a.k.a Mbowe? Don't be stupid, if they had good intention, they would have remained in the Bunge so that we (wananchi) could hear, listen and support their stand on the issues that are touching. Otherwise the Intarahamwe guy (delusional professor a.k.a Li-Pumba) contended that we move out of the bunge and fight for wananchi right while outside. This country is full of idiot politicians who only mind about their own stomach. CCM will always be there!Unajua sana kuandika,ila hujui kama hujui,wewe ndiyo hufahamu unachokiandika,na kama wewe ni kada wa ccm,nakuambia hivi siku zote Uhuru haupatikani ghafla,taratibu tutakuja kuwa huru,ni ukweli usiopingika hii Katiba imepitishwa kwa nguvu tu,polisi,pesa na vitisho vimetumika sana,kama unaakili timamu hili unalijua,ni ushabiki tu unasababishwa na njaa ndiyo unaokusumbua.watanzania wote wameona nakusikia,na wanalaani kabisa vitendo hivi vya ccm et al.
Freedom is coming soon.
![]()
Wakati wakisusia Bunge Maalum la Katiba, Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba alikaririwa akisema, Ukawa hatuwezi kuendelea kushiriki dhuluma dhidi ya wananchi kwa kupitisha Katiba ambayo ni kinyume cha matakwa yao.
Madai hayo hayakuishia kwa Prof. Lipumba pekee. Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe naye pia alikaririwa akisema,Hoja ya msingi ni kwamba, vikao vinavyoendela Dodoma ni batili. Viko kinyume cha mchakato ulioasisiwa kwa misingi ya shirikishi na vinaakisi ubabe, dharau na kejeli za viongozi kwa Watanzania,.
Aliendelea kusema, Vikao hivyo ni kama michezo ya kitoto ya kujitekenya na kucheka wenyewe, Mbowe alisema ikifanikiwa kupata Rasimu ya Katiba itakayopendekezwa kuwa Katiba na hata ikipitishwa kwa kura ya maoni kuwa katiba mpya, wao wataendelea kudai katiba bora.
Habari zaidi inapatikana hapa,
Kama hiyo haitoshi, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (pichani), alitangaza maandamano na migomo isiyokoma nchi nzima kushinikiza kuvunjwa Bunge Maalumu la Katiba, kwa madai kwamba limekuwa likitafuna fedha za umma huku wakijua kwamba Katiba haiwezi kupatikana.
Habari zaidi iko hapa,
Mantiki ya hoja inatueleza kuwa, viongozi wakuu wa vyama vya CUF na CHADEMA au UKAWA kwa ujumla wao walishafuta yale yote yaliyokuwa au yanayoendelea kufanywa ndani ya Bunge Maalum na matokeo yake yote. Kwa lugha rahisi, UKAWA hawalitambui Bunge Maalum na maamuzi yake pamoja na kwamba sheria ya nchi inalitambua, hii ni pamoja na maamuzi yake linayofanya bila uwepo wa kikundi kinachojiita UKAWA.
Kinachoshangaza ni kuanza kuwasikia viongozi wa UKAWA wakilalamikia upigaji wa kura na matokeo ya kura za kupitisha Rasimu ya Katiba ndani ya bunge ambalo wao wameishasema hawalitambui. Kwa lugha nyingine, UKAWA wanalalamikia matokeo wakati hata chanzo cha matokeo hawakitambui.
Kwa habari zaidi unaweza kusoma hapa,
Kama UKAWA walidhani kuna umuhimu wa kupiga kura na kusimamia zoezi la upigaji kura, kwa nini walisusa na wakaondoka bungeni?.
Ni hawa hawa UKAWA walikuwa kila siku wanasema wabunge wote waliobaki bungeni ni wanaCCM wanaotaka kuendeleza muundo wa Serikali mbili lakini cha kushangaza ni hawa hawa UKAWA kwa sasa eti wanalalamika matokeo ya kura za wajumbe waliokuwa wanawaita wanaCCM na pia wasaliti. Are they serious?
Hoja za UKAWA nazifananisha na mwanamme anayepinga hamtambui mwanamke fulani halafu huyo mwanamke anapojifungua mtoto, anaanza kuomba wafanye DNA ili afahamu kama mtoto ni wake. Hiki ni kichekesho!
Kuhoji matokeo ya kura wakati hawawatambui hata wapiga kura(wabunge) achilia mbali taratibu zilizotumika kupiga kura nakupatikana matokeo ni kichekesho kwa watu wenye fikra pevu.
Kama wao wameishajitoa kwenye Mchakato wa kupatikana kwa katiba mpya chini ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83, basi inabidi wakae kimya au waanze kudai Mchakato mwingine nje ya huu wa sasa kwa sababu wamedai wajumbe walioko bungeni wanachofanya kwa sasa ni kama wanajitekenya na kucheka wenyewe.
Tuliposema UKAWA hawafahamu wanachokisimamia baada ya kususia Bunge Maalum, kuna baadhi ya watu hawakutuelewa.
Huhitaji kuwa political analyst kuelewa kuwa UKAWA is all over the place. Kwa sasa hata ukiwauliza suala la maandamano na migomo limefikia wapi, huwezi hata kupata jibu.
Tumeanza kuona hata jina la UKAWA limeanza kufutika!.
Hebu tulia wewe acha umbulula,nenda kapige mswaki sisi wananchi ndio tutaamua
Ndugu, Tundu Lissu amewaingiza ''mjini''. Wamejikuta wananunua ''matango pori'' ya kisiasa.Unajua jana niliona bandiko la professor Kitila alinifurahisha sana. Wanasiasa nadhani hawajitambui. Ila mi ninayemshangaa tu ni limpumba hivi alitumia makalio au kichwa? kuwaita wenzake intarahamwe then na kutoka bungeni kwa kitu ambacho mpaka sasa watanzania tunayo katiba na imepita.
Nimehudhuria asilimia zaidi ya 75 ya mikutano ya hadhara aliyoifanya Kinana alipokuwa mkoa wa Pwani ndugu yangu, nimeshuhudia jinsi wanachama wenu wanavyosafirishwa kwa malori na DCM ili akidi ya uwanjani itimie.Ndugu,
Nadhani wewe hauishi Tanzania.
Kwa sasa Katibu Mkuu na timu yake yuko vijijini akikagua uhai wa chama na itekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.
Jaribu kufuatilia mikutano yake ili upate jibu mbadala achilia mbali chaguzi zilizofanyika hivi karibuni za madiwani, na wabunge wa Kalenga na Chalinze.
Karibu Tanga kwenye ziara ya Katibu Mkuu ili ujionee mwenyewe.
Ndugu,Nimehudhuria asilimia zaidi ya 75 ya mikutano ya hadhara aliyoifanya Kinana alipokuwa mkoa wa Pwani ndugu yangu, nimeshuhudia jinsi wanachama wenu wanavyosafirishwa kwa malori na DCM ili akidi ya uwanjani itimie.
Wakati wakisusia Bunge Maalum la Katiba, Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba alikaririwa akisema, Ukawa hatuwezi kuendelea kushiriki dhuluma dhidi ya wananchi kwa kupitisha Katiba ambayo ni kinyume cha matakwa yao.
Madai hayo hayakuishia kwa Prof. Lipumba pekee. Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe naye pia alikaririwa akisema,Hoja ya msingi ni kwamba, vikao vinavyoendela Dodoma ni batili. Viko kinyume cha mchakato ulioasisiwa kwa misingi ya shirikishi na vinaakisi ubabe, dharau na kejeli za viongozi kwa Watanzania,.
Aliendelea kusema, Vikao hivyo ni kama michezo ya kitoto ya kujitekenya na kucheka wenyewe, Mbowe alisema ikifanikiwa kupata Rasimu ya Katiba itakayopendekezwa kuwa Katiba na hata ikipitishwa kwa kura ya maoni kuwa katiba mpya, wao wataendelea kudai katiba bora.
Habari zaidi inapatikana hapa,
Kama hiyo haitoshi, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (pichani), alitangaza maandamano na migomo isiyokoma nchi nzima kushinikiza kuvunjwa Bunge Maalumu la Katiba, kwa madai kwamba limekuwa likitafuna fedha za umma huku wakijua kwamba Katiba haiwezi kupatikana.
Tuliposema UKAWA hawafahamu wanachokisimamia baada ya kususia Bunge Maalum, kuna baadhi ya watu hawakutuelewa.
Huhitaji kuwa political analyst kuelewa kuwa UKAWA is all over the place. Kwa sasa hata ukiwauliza suala la maandamano na migomo limefikia wapi, huwezi hata kupata jibu.
Tumeanza kuona hata jina la UKAWA limeanza kufutika!.
3rd October 2014 07:37