Baada ya matokeo ya kura bungeni, UKAWA waendelea kuhaha

Bado tuna safari ndefu, na ipo siku tutafika hata 2090 poa tu. Ila UKAWA and the likes sio wa kutuongoza kufika hapo. We are better than that. Kuna watu wana imani kabisa kuwa UKAWA ndo mkombozi wa hili taifa! Inafurahisha sana. Tusichanganye vitu. Naona hamu ya wengi ni bora mabadiliko tu, badala ya kutaka mabadiliko bora.
 
Ndugu,
Mimi sikuwa msimamizi wa kura na kwa maana hiyo, sifahamu lolote zaidi ya official results kama zilivyotolewa bungeni.

Ingefaa uwaulize zaidi hao wanaotoa hayo madai labda wana majibu yatakayo waondoa wasiwasi.


Kwa sababu uko CCM huwezi kujiuliza maswali magumu kama hayo...wewe unapokea tu unachoambiwa.....eti official results...My foot
 
Reactions: BAK
Muafaka upi unaozungumzia hapa? Wa kuongeza kinyemela idadi ya wajumbe toka Zanzibar toka 212 hadi 219!? Hao wajumbe 7 zaidi mmewatoa wapi? Ukiondoa kura za ndiyo za hao wajumbe 7 hewa hiyo 2/3 ili kupata akidi haijatimia.

Hivi definition NZURI ya kuwa na MUAFAKA ni nini zaidi ya kupata 2/3 ya wawakilishi wa kitaifa?
 
Freedom for what? Are you among the few Tz who has been completely brainwashed by Mr. Zero a.k.a Mbowe? Don't be stupid, if they had good intention, they would have remained in the Bunge so that we (wananchi) could hear, listen and support their stand on the issues that are touching. Otherwise the Intarahamwe guy (delusional professor a.k.a Li-Pumba) contended that we move out of the bunge and fight for wananchi right while outside. This country is full of idiot politicians who only mind about their own stomach. CCM will always be there!
 

Unajua jana niliona bandiko la professor Kitila alinifurahisha sana. Wanasiasa nadhani hawajitambui. Ila mi ninayemshangaa tu ni limpumba hivi alitumia makalio au kichwa? kuwaita wenzake intarahamwe then na kutoka bungeni kwa kitu ambacho mpaka sasa watanzania tunayo katiba na imepita.
 
Hebu tulia wewe acha umbulula,nenda kapige mswaki sisi wananchi ndio tutaamua

Kwahiyo huyo mwingine ninani? Halafu jisemee nafsi yako usipende kujumuisha.
 
Ndugu, Tundu Lissu amewaingiza ''mjini''. Wamejikuta wananunua ''matango pori'' ya kisiasa.

Tundu Lissu anadhani kila suala la kisiasa linapata majibu kwa njia ya uanaharakati.

Kwa sasa wamegonga kisiki kwenye Mchakato wa Katiba.

Maandamano na migomo waliyoitisha imedharauliwa na wananchi wapenda taifa endelevu.

Eti wanashangaa kwa nini 2/3 imepatikana kwa upande wa Zanzibar .

Watanzania wengi hawaendeshwi kwa fikra za kibinafsi. Wajumbe wameamua kupiga kura za ndiyo kutokana na msukumo wa kitaifa katika msingi wa maridhiano kati ya Tanzania bara na Zanzibar.

Tunaomba pia hata kwenye kura za maoni waendelee kususa na kugoma kupiga kura.

Chura wa kisiasa hawezi kumzuia tembo wa kisiasa kunywa maji.
 
Nimehudhuria asilimia zaidi ya 75 ya mikutano ya hadhara aliyoifanya Kinana alipokuwa mkoa wa Pwani ndugu yangu, nimeshuhudia jinsi wanachama wenu wanavyosafirishwa kwa malori na DCM ili akidi ya uwanjani itimie.
 
Nimehudhuria asilimia zaidi ya 75 ya mikutano ya hadhara aliyoifanya Kinana alipokuwa mkoa wa Pwani ndugu yangu, nimeshuhudia jinsi wanachama wenu wanavyosafirishwa kwa malori na DCM ili akidi ya uwanjani itimie.
Ndugu,
Ningekuelewa kama ungesema wanalazimishwa kwenda kwenye mikutano.

Kama kuna watu wana uwezo wa kutoa usafiri, tatizo hapa ni nini?.

Ulitaka watembee kwa miguu wakati wana usafiri.

Hata kwenye chaguzi ndogo za Kalenga na Chalinze walikuwa wanasafirishwa kwenye magari kwenda kwenye mikutano na kupiga kura ili kutimiza akidi!. Nadhani matokeo unayafahamu.

Hata kwenye chaguzi za madiwani walikuwa wanasafirishwa ili
Kutimiza akidi ya uwanjani!. Nadhani matokeo ya chopa 3 madiwani 3 unayafahamu.

Endeleeni kuishi katika nchi ya kufikirika wakati CCM inaishi katika uhalisia kama matokeo ya chaguzi mbali mbali yanavyobainisha.
 
Only in Tanzania fisadi aliyesababishia hasara nchi ndiye anayeandika rasimu ya katiba!
 


Kesho kutwa itakuwa mwaka umeisha na shauri UKAWA waweke sherehe /shughuli ya kuadhimisha Mwaka Mmoja toka waamue kutoka Bunge Maalumu la KATIBA kwa kutetea KATIBA YA WANANCHI kwa kufanya tathimini- na shughuli maalumu ya kuhamasisha wananchi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…