Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasipokuwa makini watasababisha vuruguWalifanya sio fair, huku uraiani ndio story za mjini. Wakikata waliochaguliwa watu wanalipa kisasi.
Ukishakuwa na Jina, chunga Sana unachokitoa /unachokitamka Kwa watu, Mimi ni mfuasi wa Magufuli Ila sio CCM, nimefurahishwa Sana kwa Mwakyembe kupigwa Chini, ukiondoa uzuri wake wa mambo Fulani Kwa Taifa, Ila alifika mahali akawa anaongea vitu vya kuwadharau Sana wananchi hasa wanyongeHuko Kyela Dk Harrison na uwezo wake wote wa kuongea kwa kujiamini nae amekula mzinga! Na hawa ambao walitoka upinzani na kujiunga na CCM nao wamelamba mchanga!
Rais kuzuia mikutano ya upinzani na kuacha ya ccm iendelee alitumia Sheria Gani? Mkutano ya ccm mpk maandamano ruksa, Ila upinzani hata ya ndani inaingiliwa na policcm, Unaona sawa? Unapambana na mwenzio ulingoni kafungwa kamba then unaruka ruka umempiga.Kama upo hai utaonekana tu wala usiwe na hasira. Polisi wanaudhibiti vipi? CCM inapasuka mnashinda maana watalazisha kupitisha walioshindwa.
Buku saba unalipa wewe? Huoni CCM wana hali ngumu kuchuja. Acha upuuzi, kila kitu buku7.