Baada ya matumizi ya superblack nywele zangu zimeharibika

Baada ya matumizi ya superblack nywele zangu zimeharibika

KAGAMEE

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
4,457
Reaction score
5,454
Wakuu habari za weekend?

Niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Mwanzo nilikuwa na nywele nzuri kiasi (kipilipili)baadae nikaona niwe napaka super black.

Cha kushangaza nisipopaka super black nywele zinakuwa nyekundu (imagination). Hii ilipelekea kuwa mtumwa wa super black, hali hii inaniboa na nimechoka kuwa mtumwa wa super black. Na nywele zangu naona zinapungua kadri siku zinavoenda.

Ni mafuta gani ya nywele yanaweza kurudisha nywele zangu vizuri (nataman hata za mwanzo). Napenda sana nywele nyingi na nyeusi tiiiii. Nimetumia mafuta kadhaa ya nywele kama castor oil lkn waaap.

Natanguliza shukrani.
 
Pondapoda parachichi, weka juani halafu paka kichwa kizima. Ukiendelea na ukisasa utaota kipara cha panya aliyenyeshewa.
Ooh mkuu ukiweka Juan si parachichi linakauka?Unapaka unga wake?Kwenye nywele nyingi au unyoa upara kwanza?
 
Ooh mkuu ukiweka Juan si parachichi linakauka?Unapaka unga wake?Kwenye nywele nyingi au unyoa upara kwanza?
Ukiweka juani linayeyuka linatoa mafuta kama mafuta ya nywele
 
Umri umekutupa mkono... Ndio maana wahenga walishasema, vunja mifupa meno ingaliko. 😁😁😁
 
Dahhhh.....
R.i.P Magufuli, siku zinaenda kwa kasi sana aiseeee
 
Umri ushakutupa mkono kiongozi hayo mambo waachie vijana sasa[emoji1787][emoji23]
 
Tupia kapicha tuone nywele zako kabla na baada ya kutumia
 
Back
Top Bottom