Pre GE2025 Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ya mane
Nimejifunza kwamba kumbe Demokrasia ni kitu cha hovyo hovyo hivi na si kila mtu anakitaka,Magufuli was very right.Tunataka Demokrasia lkn hatutaki the practice of Democracy.
Ya maneno tu Ile ya vitendo ina maumivu makuu mno !
 
Pasikali ameonyesha ana uwezo mdogo sana linapokuja swala la kuchagua upande na ushabiki, yeye ndo kajivua nguo
Pascal mayala anazeeka vibaya Akili yake ni ndogo kama ya wenye uwezo wao wa kufikiri sasa upo chini sana, hawajui maana ya uchanguzi hawajui maana ya kampeni hajui kuwa bila siasa kuna maisha pia
 
1. Ulitaka Mbowe akiri huo nusu mkate?

2. Unadhani Lissu anamuogopa Wenje hadi amsingizie?

3. Acha vita ipiganwe, kwa Maoni yangu Mbowe atatetea kiti kwa vile amepewa pesa ndefu na dola lkn atavuna aibu ya milele kama Lipumba na Mrema.

4. Mbowe atatolewa mifano kwa vizazi vijavyo kama msaliti wa mageuzi ya kweli

5. Mbowe atatajwa kama fisadi la kisiasa.

5. Lissu kwa vile ni msafi ataendelea kung,aa kama dhahabu safi.

6. Namshauri Lissu aendelee kukaa mbali na rushwa.

Note: Kuna kushindwa kwa kushinda.
Na kuna kushinda kwa kushindwa.

Zingatia hilo.
 
Mtu ama kiongozi anayekanusha tuhuma kwenye mimbari, wewe umethibitishaje ukweli wake?
 
Kuna watu hawaamini hili,Mbowe analijua hili ila ameshinikizwa kugombea!
Mwisho wa TUNDULISSU ndiyo mwisho wa CHADEMA.
Wenye macho matatu tu ndiyo wanaliona hili!
Uko sahihi sana. Mbowe hakuwa na mpango wa kugombea. Kashinikizwa na dola ambayo imekuwa ikimpa cash kwa vile haiwezi kucheza DEALS na Lissu za kuigeuza Chdema kuwa kiyoyozi cha kuzima katiba mpya....na kuhakikidha ccm inabaki madarakani.
 
Hatimaye CCM mmeshinda hongereni
 
Leo nimeamini CHADEMA ni mali ya Mbowe na Wachaga, sisi wengine heri tubaki Simba na Yanga huku tukifuatilia Trump anasema nini kuliko kuwa mfuasi wa siasa za Tanganyika
Tuwe tunaficha chuki zetu dhidi ya makabila mengine. Mbowe aking'ang'ania cheo chama kinaitwa chama cha Wachaga. Hebu tuambie CUF ni ya kabila gani kwa maana Lipumba nae kagoma kuondoka.
Uchu wa madaraka wa "faru John" usiwe ni wa kabila ila ulafi wake binafsi.
 
Wenje kakosea sana kumtuma Paskal mayala wasemee, alipaswa ajue kuwa watanzania wa sasa wameamka wanajua mapungufu ya mbowe hususani kwenye idara ya pesa za chadema, mbowe yeye ndiyo mhasibu hataki kuweka wataalam wa fedha kila pesa ya chadema ipo kwake binafsi, hata katibu mkuu wa chadema hana mamlaka kwenye pesa za chama akitaka pesa anaomba kwa mbowe na hawezi pewa alizoomba anapewa vihela vichache kwa mbinde na masimango mengi, shida kuu ya mbowe ni kula pesa za chama peke yake na wakati mwingine kudai kakikopesha chama madeni yasiyo na takwimu, mayala na wenye hapo mmechemka nendeni mkae mtafakari kwanza ndipo mjue cha kuandika
 
Pascal umeandika kwa uchonganishi sana. Lissu hajavuliwa nguvu wala hajashambuliwa, mbowe amezungumza siasa
 
Kiumri ww ni unaweza kuwa babu yangu kabisa,lkn nashangaa umeshindwa kufikiri vizur mpk ukaandika maneno hayo..inawezekana uhalisia unaujua ila unajitoa ufahamu sababu ya siasa..

Iv ni kweli mbowe anaweza kukubali rushwa ipo ndan ya chama kirahisi tu! au ametoa uthibitisho gan uliomvua nguo lissu unaothibitisha chadema hakuna rushwa?

MZEE HUNA AKILI KABISA,PUMBAVU ZAKO!!
 
Mwambie mbowe aache chuki kwa watu wanaogombea uenyekiti atambue kuwa hakuna kisicho na mwisho hata aking’ang’ania kubaki ipo siku atatoka tu haweza kuwa mwenyekiti milele
 
Nilikuheshimu sana toka nijiunge JF, kwa post hii moja tu nimekudharau sana nakukuona unaedeshwa na mihemko ya ushabiki.,
 
Nilikwambia kaka,Magufuli aliwajua sana hawa Chadema na walikuwa wanatumiwa sana kumuhujumu ndo maana kuna wakati alikuwa anamnyosha sana huyu Mangi
Shida ya mbowe ni moja uchoyo kugeuza pesa za chama kuwa pesa zake binafsi na sasa atazitumia kuchakachua uchunguzi na hata akishinda tena chadema itakuwa chama legelege hakuna mtu anapenda kuwa na kiongozi mchoyo mroho wa pesa za chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…