Ya maneno tu Ile ya vitendo ina maumivu makuu mno !Nimejifunza kwamba kumbe Demokrasia ni kitu cha hovyo hovyo hivi na si kila mtu anakitaka,Magufuli was very right.Tunataka Demokrasia lkn hatutaki the practice of Democracy.
Pascal mayala anazeeka vibaya Akili yake ni ndogo kama ya wenye uwezo wao wa kufikiri sasa upo chini sana, hawajui maana ya uchanguzi hawajui maana ya kampeni hajui kuwa bila siasa kuna maisha piaPasikali ameonyesha ana uwezo mdogo sana linapokuja swala la kuchagua upande na ushabiki, yeye ndo kajivua nguo
1. Ulitaka Mbowe akiri huo nusu mkate?Wanabodi
Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!.
Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema!. Je ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.
Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.
Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box
Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!
Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.
Tundu Lissu chutama!.
Kaka yako mkubwa
Paskali.
Mtu ama kiongozi anayekanusha tuhuma kwenye mimbari, wewe umethibitishaje ukweli wake?Wanabodi
Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!.
Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema!. Je ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.
Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.
Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box
Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!
Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.
Tundu Lissu chutama!.
Kaka yako mkubwa
Paskali.
Uko sahihi sana. Mbowe hakuwa na mpango wa kugombea. Kashinikizwa na dola ambayo imekuwa ikimpa cash kwa vile haiwezi kucheza DEALS na Lissu za kuigeuza Chdema kuwa kiyoyozi cha kuzima katiba mpya....na kuhakikidha ccm inabaki madarakani.Kuna watu hawaamini hili,Mbowe analijua hili ila ameshinikizwa kugombea!
Mwisho wa TUNDULISSU ndiyo mwisho wa CHADEMA.
Wenye macho matatu tu ndiyo wanaliona hili!
Hatimaye CCM mmeshinda hongereniWanabodi
Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!.
Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema!. Je ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.
Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.
Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box
Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!
Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.
Tundu Lissu chutama!.
Kaka yako mkubwa
Paskali.
Mkuu Guuini, Guin, asante kwa hii Je Wajua Sio Kila Kushinda ni Kushinda KweliNote: Kuna kushindwa kwa kushinda.
Na kuna kushinda kwa kushindwa.
Zingatia hilo.
Tuwe tunaficha chuki zetu dhidi ya makabila mengine. Mbowe aking'ang'ania cheo chama kinaitwa chama cha Wachaga. Hebu tuambie CUF ni ya kabila gani kwa maana Lipumba nae kagoma kuondoka.Leo nimeamini CHADEMA ni mali ya Mbowe na Wachaga, sisi wengine heri tubaki Simba na Yanga huku tukifuatilia Trump anasema nini kuliko kuwa mfuasi wa siasa za Tanganyika
Pascal umeandika kwa uchonganishi sana. Lissu hajavuliwa nguvu wala hajashambuliwa, mbowe amezungumza siasaWanabodi
Kumekucha, Chadema Kazi Imeanza!.
Baada ya Mwenyekiti Mbowe kuamua kutetea Uenyekiti wake Chadema, kiukweli hatma ya Tundu Lissu ndani ya Chadema ndio imefika at the end of the road, Tundu Lissu ndio kwishney ndani ya Chadema!. Je ataendelea kugombea hadi atoswe kwa kupata kura moja, ama atajitoa?, na akiamua kujitoa kutoendelea kugombea, jee atabaki Chadema, ama atabwaga manyanga na kujitimkia zake Ubeligiji ama atatimka Chadema na kujiunga na chama kingine kitakachompa tiketi ya kugombea urais?.
Mimi Tundu Lissu ni mdogo wangu wa shule ya sekondari pale Ilboru, kwa vile namjua sana ni mtu machachari na papara, hivyo nimejitolea kwanza kumshauri to cool down!, asifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.
Soma Pia: Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwa box
Kitu cha pili ni kumuomba, Please please please, usiitishe press conference yoyote kumjibu Mbowe, huo utakuwa ni utovu wa nidhamu, Lissu ni umevuliwa nguo na kuachwa mtupu kabisa!, kumbe hakuna rushwa yoyote Chadema!, hakuna hongo yoyote ya Abdul na Mama yake!, kumbe hata nusu mkate ni uzushi wako tuu?!
Mtu mzima unapo vuliwa nguo hadharani mchana kweupe na kuachwa mtupu kabisa kwenye kadamnasi ya watu, dawa sio kujitetea bali ni kuchutama!.
Tundu Lissu chutama!.
Kaka yako mkubwa
Paskali.
Tena aitishe press haraka iwezekanavyo ili hii saccos ya Mbowe ife mapemaasifanye uamuzi wowote wa papara, utakao iumiza Chadema.
Nilikwambia kaka,Magufuli aliwajua sana hawa Chadema na walikuwa wanatumiwa sana kumuhujumu ndo maana kuna wakati alikuwa anamnyosha sana huyu MangiBora upinzani ufe Lissu atulie ajasili chama tuanze upya leo nimekasirika natamani kuua kabisa
Shida ya mbowe ni moja uchoyo kugeuza pesa za chama kuwa pesa zake binafsi na sasa atazitumia kuchakachua uchunguzi na hata akishinda tena chadema itakuwa chama legelege hakuna mtu anapenda kuwa na kiongozi mchoyo mroho wa pesa za chamaNilikwambia kaka,Magufuli aliwajua sana hawa Chadema na walikuwa wanatumiwa sana kumuhujumu ndo maana kuna wakati alikuwa anamnyosha sana huyu Mangi
Paskal mayala sasa ana njaa kaamua kujitoa fahamu zootee kawa mtumishi na chawa wa wenjeNilikuheshimu sana toka nijiunge JF, kwa post hii moja tu nimekudharau sana nakukuona unaedeshwa na mihemko ya ushabiki.,