mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,406
- 711
Baada ya kuzozana kwa muda mrefu Mwijaku na Mwenzie hatimae wimbo waliokua wanaupa kiki watoka hii ina maanisha kwamba ilikua ni mzozo feki kati ya vijana hao wawili kuupa kiki wimbo wa Mrisho mpoto ft Harmonize. Kiukweli wimbo ni mzuri ila beat lake naona ndo zaidi sijui ni Laizer kaitengeneza au nani.
Copy and Paste
Laizer vipi hapa?