Baada ya mdomo kua mrefu na drama za kijinga nimemrudisha wife kwao halafu nimetafuta house girl. Nimegundua mambo kadhaa

naunga hoja mkono.
 
Sawa bwana umeshinda. Ila nina tatizo moja apo kwenye mbususu ya kujipimia mi sijaoa ila mbona naskiaga kuna mda wanakataaga, mara wakalale sebleni, wajifanye wanaumwa, aseme kachoka au sio ya kweli haya
Usidanganywe, Duniani hapa hakuna K ya bure. Hakuna mwanamke anatoa uchi wake bure.

Mwanamke akikupa uchi wake basi lazima uulipie.

Kwa hiyo wanaume wote tunalipia uchi, umeoa ama hujaoa kupata mwili wa mwanamke ni lazima uwe umeulipia.
 
Hizo message anazotuma kulalamika hazina muda mrefu zitatulia.

Afu utarudi hapa ukijing'ata na kugaragara.

Na bila shaka mimi Karucee nitaongoza safu ya mbele kukuimbia mapambio na kukucheka.

Hata nikiambulia tusi fresh tu.
Na mimi nimewaza hivyo,mkewe anaweza kurudi kwa lengo la kumpiga tukio jamaa (Kama kweli atarudi kama hajapata mtu mwingine) tena hii thd ataisoma tu na atajua madhaifu ya jamaa yake,ni bora usingeleta hii thd asingejua uyawazayo moyoni,

Sio kila jambo ni lakupeleka mitandaoni.
 
Mkuu yeye hatumii JF hayupo humu yeye ni mtu wa Quara na twitter
Mmmh mkuu mtu wa quora na twitter kutokua jf ni jambo la kuzingatiwa kidogo.
Huenda yupo ila we hujui, labda anajua wewe upo huku hivyo hataki ujue id yake.

Kwa nnavowaza huu uzi wako ashauona tayari.
 
Naiman amekuelewa, lkn pia watu huwa hatufanani yapasa tubebe madhaifu ya wengne.

Ukitambua kuwa kila mtu ana hulka ambayo anayo, yapasa uchukuliane nae ili maisha yapate kusonga mbele.

Tabia ya maneno maneno inaudhi s kidogo, lkn ndvyo alivyo yapasa ujue n jins gan utakabiliana na hiyo hali. Tabia ya mtu haibadiliki kwa sku au mwez, wahenga wanasema jasr haaachi asili.
 
Mkuu, nyumbani kwao na shemeji ni mkoa, wilaya na kijiji gani??.Tuone km tunaweza kukusaidia.
 

Sema huko kwao alipo lazima wajuba watakuwa wameshamkojoza
 
Miaka hii kuna wanawake wanarudishwa kwao?????????


Ndio maana kila siku tunawaambia mabinti kabla hujaolewa hakikisha una uhuru wa kiuchumi......


Una maisha yako


La sivyo utafanywa kama nyanya unarushwa tu shambani, sokoni gengeni mara paap kikaangoni
 
Sema sio mbaya akimiss ya kijana wa nyumbani, unamwacha na akirudi anakua ametulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…