Baada ya Mdude Nyagali kuanza kujitetea kwa hoja nzito Mahakamani apigwa na kuteswa zaidi Gerezani kwa madai ya kuisumbua Serikali

Sasa hao wapuuzi wenyewe walio mbambikizia hiyo kesi unakuta ni uvccm walioko tiss! unategemea nini!

Walau hata alimfaidi yule manzi wa A town kwa kumtafuna kwa siku kadhaa kabla ya kuondoka na kumuachia huo msala wa kubambikiwa!
Kila ubaya utalipwa
 
Labda ungesema hata wabunge wa CHADEMA waliounga zile juhudi walilipwa pesa kifisadi! Alafu CAG, anafanya yake, hujafuatilia! Kubwa kuliko litakua report maalumu ya January to March, stay tuned!
 
Pole mdude wate waliokufanyia ubaya wana mwisho wao malipo hapa hapa dunian
 
Hakuna mbunge aliyehama Chadema kwa sababu ya michango , wote walinunuliwa .
Ni aibu kubwa ya chama, kiongozi wake kununuliwa.
Inaonesha kwamba chama kina viongozi waliopo kwa maslahi yao binafsi na si maslahi ya wananchi.
Shame kwa viongozi wanaonunuliwa, shame kwa chama Chao.
 
Ni aibu kubwa ya chama, kiongozi wake kununuliwa.
Inaonesha kwamba chama kina viongozi waliopo kwa maslahi yao binafsi na si maslahi ya wananchi.
Shame kwa viongozi wanaonunuliwa, shame kwa chama Chao.
Hoja yako ni dhaifu mno !
 
Ni aibu kubwa ya chama, kiongozi wake kununuliwa.
Inaonesha kwamba chama kina viongozi waliopo kwa maslahi yao binafsi na si maslahi ya wananchi.
Shame kwa viongozi wanaonunuliwa, shame kwa chama Chao.
Hii akili na uthubutu wa kuzungumza uharo mbele ya kadamnasi umerithi kutoka kwa shujaa fisadi wa Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…