Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
1. Waliohusika kumkamata wafunguliwe mashtaka.
2. Waliomtesa wafunguliwe mashtaka.
Tatizo kubwa la Watanzani wengi wana short term vision. Tayari wamesharidhika. Mdude asaidiwe waliomtendea huyo Unyama wote wafunguliwe mashtaka. Wasiachwe hivi hivi. Ili next time wanapotakwa kufanya huo unyama wakatae.
Mkuu wa Polisi aliyetangaza kuwa Mdude ana madawa, walioenda mkamata na waliomtesa gerezani. Msipoe msiridhike amekaa mwaka mzima ndani wakati wates wake waki vuta tu pumzi safi ya Sir God huku uraiani.
Liamsheni Dude wafikisheni mahakamani.
2. Waliomtesa wafunguliwe mashtaka.
Tatizo kubwa la Watanzani wengi wana short term vision. Tayari wamesharidhika. Mdude asaidiwe waliomtendea huyo Unyama wote wafunguliwe mashtaka. Wasiachwe hivi hivi. Ili next time wanapotakwa kufanya huo unyama wakatae.
Mkuu wa Polisi aliyetangaza kuwa Mdude ana madawa, walioenda mkamata na waliomtesa gerezani. Msipoe msiridhike amekaa mwaka mzima ndani wakati wates wake waki vuta tu pumzi safi ya Sir God huku uraiani.
Liamsheni Dude wafikisheni mahakamani.