Baada ya Mechi Kumalizika tegemeeni haya yafuatayo

Baada ya Mechi Kumalizika tegemeeni haya yafuatayo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Kocha Benchika kutimuliwa rasmi Simba SC

2. Mwekezaji Mo Dewji kuchafua Hali ya Hewa kwa ama Kujiondoa Simba SC au Kuubadili Uongozi wa Bodi.

3. Mwenyekiti wa Bodi Simba Sports Club Limited Salim Abdallah na Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Kujiuzuru rasmi.

4. Simba SC kuitisha haraka sana Mkutano wa Dharura wa Wanachama.

5. Timu kuwa chini ya Friends of Simba SC na Wazee Waliotengwa na Uongozi wa sasa.

6. Wacheaji Watatu wa Simba SC Wawili Wageni na Mmoja Mzawa Kusimamishwa.

7. Fujo kubwa mno inaenda kutokea Uwanja wa Mkapa Mpira ukimalizika na nashauri kwa wale Wasiopenda Fujo na wanakaa mbali waanze kuondoka sasa Uwanjani.

OMBI

Jeshi la Police Tanzania muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi kwa Kushirikiana na Kikosi cha Kuzuia Fujo ( FFU ) tafadhali ongezeni Ulinzi kwani kuna Fujo Kubwa inaenda kutokea.

Try Again na Mangungu kama mpo sasa hapo Uwanjani tokeni upesi Ondokeni na ikiwezekana leo msilale Makwenu.

Mwisho niwatakie Yanga SC Pongezi nyingi sana kwa Ushindi hata kama bado Mechi haijaisha na nitangaze hapa rasmi kuwa Yanga SC ndiyo Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu tena.

Ngoja sasa nijiandae nitoke zangu hapa Hotelini Nakasero jijini Kampala nchini Uganda nilipo na nikatafute Toto moja la Kinyankole au Kichiga au la Kiganda nipoze Machungu yangu ya Kipigo TULICHOKISTAHILI KUTOKANA NA UPUMBAVU WETU mpaka Kesho Asubuhi.

Yanga SC Shikamoo na R.I.P Gardner G. Habash.
 
1. Kocha Benchika kutimuliwa rasmi Simba SC

2. Mwekezaji Mo Dewji kuchafua Hali ya Hewa kwa ama Kujiondoa Simba SC au Kuubadili Uongozi wa Bodi.

3. Mwenyekiti wa Bodi Simba Sports Club Limited Salim Abdallah na Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Kujiuzuru rasmi.

4. Simba SC kuitisha haraka sana Mkutano wa Dharura wa Wanachama.

5. Timu kuwa chini ya Friends of Simba SC na Wazee Waliotengwa na Uongozi wa sasa.

6. Wacheaji Watatu wa Simba SC Wawili Wageni na Mmoja Mzawa Kusimamishwa.

7. Fujo kubwa mno inaenda kutokea Uwanja wa Mkapa Mpira ukimalizika na nashauri kwa wale Wasiopenda Fujo na wanakaa mbali waanze kuondoka sasa Uwanjani.

OMBI

Jeshi la Police Tanzania muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi kwa Kushirikiana na Kikosi cha Kuzuia Fujo ( FFU ) tafadhali ongezeni Ulinzi kwani kuna Fujo Kubwa inaenda kutokea.

Try Again na Mangungu kama mpo sasa hapo Uwanjani tokeni upesi Ondokeni na ikiwezekana leo msilale Makwenu.

Mwisho niwatakie Yanga SC Pongezi nyingi sana kwa Ushindi hata kama bado Mechi haijaisha na nitangaze hapa rasmi kuwa Yanga SC ndiyo Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu tena.

Ngoja sasa nijiandae nitoke zangu hapa Hotelini Nakasero jijini Kampala nchini Uganda nilipo na nikatafute Toto moja la Kinyankole au Kichiga au la Kiganda nipoze Machungu yangu ya Kipigo TULICHOKISTAHILI KUTOKANA NA UPUMBAVU WETU mpaka Kesho Asubuhi.

Yanga SC Shikamoo na R.I.P Gardner G. Habash.
Usisahau Kinga mkuu
 
1. Kocha Benchika kutimuliwa rasmi Simba SC

2. Mwekezaji Mo Dewji kuchafua Hali ya Hewa kwa ama Kujiondoa Simba SC au Kuubadili Uongozi wa Bodi.

3. Mwenyekiti wa Bodi Simba Sports Club Limited Salim Abdallah na Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Kujiuzuru rasmi.

4. Simba SC kuitisha haraka sana Mkutano wa Dharura wa Wanachama.

5. Timu kuwa chini ya Friends of Simba SC na Wazee Waliotengwa na Uongozi wa sasa.

6. Wacheaji Watatu wa Simba SC Wawili Wageni na Mmoja Mzawa Kusimamishwa.

7. Fujo kubwa mno inaenda kutokea Uwanja wa Mkapa Mpira ukimalizika na nashauri kwa wale Wasiopenda Fujo na wanakaa mbali waanze kuondoka sasa Uwanjani.

OMBI

Jeshi la Police Tanzania muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi kwa Kushirikiana na Kikosi cha Kuzuia Fujo ( FFU ) tafadhali ongezeni Ulinzi kwani kuna Fujo Kubwa inaenda kutokea.

Try Again na Mangungu kama mpo sasa hapo Uwanjani tokeni upesi Ondokeni na ikiwezekana leo msilale Makwenu.

Mwisho niwatakie Yanga SC Pongezi nyingi sana kwa Ushindi hata kama bado Mechi haijaisha na nitangaze hapa rasmi kuwa Yanga SC ndiyo Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu tena.

Ngoja sasa nijiandae nitoke zangu hapa Hotelini Nakasero jijini Kampala nchini Uganda nilipo na nikatafute Toto moja la Kinyankole au Kichiga au la Kiganda nipoze Machungu yangu ya Kipigo TULICHOKISTAHILI KUTOKANA NA UPUMBAVU WETU mpaka Kesho Asubuhi.

Yanga SC Shikamoo na R.I.P Gardner G. Habash.
Furahia amaizi achana na habari za simba, timu ishajifia hiyo
 
Hakika genta katafuta toto moja la kipare ujipozee machungu kushabikia simba ni mateso
 
Matokeo ya timu kuendeshwa kila siku kwa vikao vya mezani, Mo ameshapoteza muelekeo.
 
Popoma tunashukuru kwa kuipongeza timu uipendayo ya yanga😂😂
 
Back
Top Bottom