Baada ya Mechi Kumalizika tegemeeni haya yafuatayo

Baada ya Mechi Kumalizika tegemeeni haya yafuatayo

Simba hatihati kucheza champions league , Azam kuchukua nafasi yao! Viongozi wapishe wengine maana maumivu ni makubwa kwa mashabiki kwa Simba kufungwa derby nje ndani.

Leo Wachezaji wa Yanga walikuwa na presha sana na waling'ang'ania sana kukaa na mpira na kupoteza mpira kizembe kwa kuchelewa kutoa pasi hasa Mudathir , Max na Yao. Waambiwe watulie kwenye mechi kubwa.

Musonda akumbushwe kuwa si lazima alazimishe kufunga wakati wenzake wakiwa kwenye nafasi nzuri ya kufunga atoe assist.
 
1. Kocha Benchika kutimuliwa rasmi Simba SC

2. Mwekezaji Mo Dewji kuchafua Hali ya Hewa kwa ama Kujiondoa Simba SC au Kuubadili Uongozi wa Bodi.

3. Mwenyekiti wa Bodi Simba Sports Club Limited Salim Abdallah na Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Kujiuzuru rasmi.

4. Simba SC kuitisha haraka sana Mkutano wa Dharura wa Wanachama.

5. Timu kuwa chini ya Friends of Simba SC na Wazee Waliotengwa na Uongozi wa sasa.

6. Wacheaji Watatu wa Simba SC Wawili Wageni na Mmoja Mzawa Kusimamishwa.

7. Fujo kubwa mno inaenda kutokea Uwanja wa Mkapa Mpira ukimalizika na nashauri kwa wale Wasiopenda Fujo na wanakaa mbali waanze kuondoka sasa Uwanjani.

OMBI

Jeshi la Police Tanzania muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi kwa Kushirikiana na Kikosi cha Kuzuia Fujo ( FFU ) tafadhali ongezeni Ulinzi kwani kuna Fujo Kubwa inaenda kutokea.

Try Again na Mangungu kama mpo sasa hapo Uwanjani tokeni upesi Ondokeni na ikiwezekana leo msilale Makwenu.

Mwisho niwatakie Yanga SC Pongezi nyingi sana kwa Ushindi hata kama bado Mechi haijaisha na nitangaze hapa rasmi kuwa Yanga SC ndiyo Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu tena.

Ngoja sasa nijiandae nitoke zangu hapa Hotelini Nakasero jijini Kampala nchini Uganda nilipo na nikatafute Toto moja la Kinyankole au Kichiga au la Kiganda nipoze Machungu yangu ya Kipigo TULICHOKISTAHILI KUTOKANA NA UPUMBAVU WETU mpaka Kesho Asubuhi.

Yanga SC Shikamoo na R.I.P Gardner G. Habash.
Sie Simba wa kweli hatuna mambo ya kipuuzi kama hayo uliyoandika. Na kama ikitokea Kuna watu watafanya fujo, basi WASHUGHULIKIWE KISAWASAWA na mamlaka husika maana hao sio Simba!
 
1. Kocha Benchika kutimuliwa rasmi Simba SC

2. Mwekezaji Mo Dewji kuchafua Hali ya Hewa kwa ama Kujiondoa Simba SC au Kuubadili Uongozi wa Bodi.

3. Mwenyekiti wa Bodi Simba Sports Club Limited Salim Abdallah na Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Kujiuzuru rasmi.

4. Simba SC kuitisha haraka sana Mkutano wa Dharura wa Wanachama.

5. Timu kuwa chini ya Friends of Simba SC na Wazee Waliotengwa na Uongozi wa sasa.

6. Wacheaji Watatu wa Simba SC Wawili Wageni na Mmoja Mzawa Kusimamishwa.

7. Fujo kubwa mno inaenda kutokea Uwanja wa Mkapa Mpira ukimalizika na nashauri kwa wale Wasiopenda Fujo na wanakaa mbali waanze kuondoka sasa Uwanjani.

OMBI

Jeshi la Police Tanzania muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi kwa Kushirikiana na Kikosi cha Kuzuia Fujo ( FFU ) tafadhali ongezeni Ulinzi kwani kuna Fujo Kubwa inaenda kutokea.

Try Again na Mangungu kama mpo sasa hapo Uwanjani tokeni upesi Ondokeni na ikiwezekana leo msilale Makwenu.

Mwisho niwatakie Yanga SC Pongezi nyingi sana kwa Ushindi hata kama bado Mechi haijaisha na nitangaze hapa rasmi kuwa Yanga SC ndiyo Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu tena.

Ngoja sasa nijiandae nitoke zangu hapa Hotelini Nakasero jijini Kampala nchini Uganda nilipo na nikatafute Toto moja la Kinyankole au Kichiga au la Kiganda nipoze Machungu yangu ya Kipigo TULICHOKISTAHILI KUTOKANA NA UPUMBAVU WETU mpaka Kesho Asubuhi.

Yanga SC Shikamoo na R.I.P Gardner G. Habash.
Dah! Ila mdogo wangu Jenta unawatesa sana mashabiki wako. Anyway, tunazipokea pongezi zako kwa mikono miwili. 🙏
 
1. Kocha Benchika kutimuliwa rasmi Simba SC

2. Mwekezaji Mo Dewji kuchafua Hali ya Hewa kwa ama Kujiondoa Simba SC au Kuubadili Uongozi wa Bodi.

3. Mwenyekiti wa Bodi Simba Sports Club Limited Salim Abdallah na Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Kujiuzuru rasmi.

4. Simba SC kuitisha haraka sana Mkutano wa Dharura wa Wanachama.

5. Timu kuwa chini ya Friends of Simba SC na Wazee Waliotengwa na Uongozi wa sasa.

6. Wacheaji Watatu wa Simba SC Wawili Wageni na Mmoja Mzawa Kusimamishwa.

7. Fujo kubwa mno inaenda kutokea Uwanja wa Mkapa Mpira ukimalizika na nashauri kwa wale Wasiopenda Fujo na wanakaa mbali waanze kuondoka sasa Uwanjani.

OMBI

Jeshi la Police Tanzania muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi kwa Kushirikiana na Kikosi cha Kuzuia Fujo ( FFU ) tafadhali ongezeni Ulinzi kwani kuna Fujo Kubwa inaenda kutokea.

Try Again na Mangungu kama mpo sasa hapo Uwanjani tokeni upesi Ondokeni na ikiwezekana leo msilale Makwenu.

Mwisho niwatakie Yanga SC Pongezi nyingi sana kwa Ushindi hata kama bado Mechi haijaisha na nitangaze hapa rasmi kuwa Yanga SC ndiyo Mabingwa tena wa NBC Premier League kwa Msimu huu tena.

Ngoja sasa nijiandae nitoke zangu hapa Hotelini Nakasero jijini Kampala nchini Uganda nilipo na nikatafute Toto moja la Kinyankole au Kichiga au la Kiganda nipoze Machungu yangu ya Kipigo TULICHOKISTAHILI KUTOKANA NA UPUMBAVU WETU mpaka Kesho Asubuhi.

Yanga SC Shikamoo na R.I.P Gardner G. Habash.
Mkuu nimeguswa na kufarijika sana ulipotaja hao watoto wa kiganda[emoji39][emoji39][emoji39]hawa wana sehemu salama sana ya kujojolea yani zinaandaliwa maalum kwa ajili yetu. unaweza kukojoa adi moyo usipokaa sawa.

sasa unashangilia nini maana umefungwa na uyo gadna ndoivo tena hlf ww unaenda kut.0mba?
 
Mkuu nimeguswa na kufarijika sana ulipotaja hao watoto wa kiganda[emoji39][emoji39][emoji39]hawa wana sehemu salama sana ya kujojolea yani zinaandaliwa maalum kwa ajili yetu. unaweza kukojoa adi moyo usipokaa sawa.

sasa unashangilia nini maana umefungwa na uyo gadna ndoivo tena hlf ww unaenda kut.0mba?
Mkuu yaani nina Hasira ya Kufungwa ila nimesoma hii Post yako nimejikuta Nacheka sana. Asante kwa kunipunguzia Machungu ya Kipigo.
 
Mkuu yaani nina Hasira ya Kufungwa ila nimesoma hii Post yako nimejikuta Nacheka sana. Asante kwa kunipunguzia Machungu ya Kipigo.
Una machungu gani wewe kinyamkera..umeshawalala wadada wangapi wakiganda hadi saivi..
 
Mkuu nimeguswa na kufarijika sana ulipotaja hao watoto wa kiganda[emoji39][emoji39][emoji39]hawa wana sehemu salama sana ya kujojolea yani zinaandaliwa maalum kwa ajili yetu. unaweza kukojoa adi moyo usipokaa sawa.

sasa unashangilia nini maana umefungwa na uyo gadna ndoivo tena hlf ww unaenda kut.0mba?
Unasemaaaaaa!
 
Back
Top Bottom