Baada ya mechi Medeama hatutaki malalamiko na visingizo

Baada ya mechi Medeama hatutaki malalamiko na visingizo

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Mko nyumbani,hatutaki kusikia kisingizio au malalamiko yoyote sijui refa kawaonea , mna uwezo wote wa kumaliza game mapema. Nye ndo mtakuwa na uwezo wa kutuliza game kama presha ipo juu,hatutaki kusikia mechi ngumu wakati mkishindwa kumfunga hata Medeama nyumbani.

Tunatakiwa tuvuke tuingie robo wote hatutaki aibu, hatutaki malalamiko tunataka kushinda,miaka 25 hujaingia hatua ya robo ni aibu hii mnaaibisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mko nyumbani,hatutaki kusikia kisingizio au malalamiko yoyote sijui refa kawaonea , mna uwezo wote wa kumaliza game mapema. Nye ndo mtakuwa na uwezo wa kutuliza game kama presha ipo juu,hatutaki kusikia mechi ngumu wakati mkishindwa kumfunga hata Medeama nyumbani.

Tunatakiwa tuvuke tuingie robo wote hatutaki aibu, hatutaki malalamiko tunataka kushinda,miaka 25 hujaingia hatua ya robo ni aibu hii mnaaibisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una miaka mingapi ujagusa fainali ya kombe la shirikisho?
 
Naamini UTO wanashinda kabisaa leo.wasiposhinda basi Gamondi sio kocha na bado anatembelea upepo wa Nabi ambae ndie aliijenga hii Uto iwe tishio kwa kolo
 
Mko nyumbani,hatutaki kusikia kisingizio au malalamiko yoyote sijui refa kawaonea , mna uwezo wote wa kumaliza game mapema. Nye ndo mtakuwa na uwezo wa kutuliza game kama presha ipo juu,hatutaki kusikia mechi ngumu wakati mkishindwa kumfunga hata Medeama nyumbani.

Tunatakiwa tuvuke tuingie robo wote hatutaki aibu, hatutaki malalamiko tunataka kushinda,miaka 25 hujaingia hatua ya robo ni aibu hii mnaaibisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyie msianze kusema Medeama wabovu wakichapwa. Maana ndio wimbo wenu Makolokocho.
 
Mko nyumbani,hatutaki kusikia kisingizio au malalamiko yoyote sijui refa kawaonea , mna uwezo wote wa kumaliza game mapema. Nye ndo mtakuwa na uwezo wa kutuliza game kama presha ipo juu,hatutaki kusikia mechi ngumu wakati mkishindwa kumfunga hata Medeama nyumbani.

Tunatakiwa tuvuke tuingie robo wote hatutaki aibu, hatutaki malalamiko tunataka kushinda,miaka 25 hujaingia hatua ya robo ni aibu hii mnaaibisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji1787]
 
Back
Top Bottom