Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 269
HABARI za Uhakika ambazo nimepokea Punde kutoka kwa viongozi wa Dini jijini Mwanza ni kuwa Baada ya Bernaed Membe kujaribu kuzungumza na viongozi wa dini na madhehebu ya Kikristu na kushindwa kuwabadili, leo Usiku saa 5:00 Kikwete atakutana na viongozi hao kwa siri na kuwabembeleza kumchagua na kumpigia kampeni kwa waumini wao.
Eneo la kikao hicho mpaka sasa hawajaambiwa, lakini Utaratibu uliopangwa watakutana kwa makundi ambapo kundi la kwanza litakuwa ni;
1. Maaskofu tu
2. Wachungaji
Maendelea kukatuma Ka INZI kufuatilia kwa ukaribu zaidi na kujua jinsi ambavyo mzee atajitetea kwao kuomba wamchague na wakawaambie waumini wao.
Eneo la kikao hicho mpaka sasa hawajaambiwa, lakini Utaratibu uliopangwa watakutana kwa makundi ambapo kundi la kwanza litakuwa ni;
1. Maaskofu tu
2. Wachungaji
Maendelea kukatuma Ka INZI kufuatilia kwa ukaribu zaidi na kujua jinsi ambavyo mzee atajitetea kwao kuomba wamchague na wakawaambie waumini wao.