Elections 2010 Baada ya Membe kugomewa; JK kuzungumza na Viongozi wa dini Usiku

Elections 2010 Baada ya Membe kugomewa; JK kuzungumza na Viongozi wa dini Usiku

Mongoiwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
524
Reaction score
269
HABARI za Uhakika ambazo nimepokea Punde kutoka kwa viongozi wa Dini jijini Mwanza ni kuwa Baada ya Bernaed Membe kujaribu kuzungumza na viongozi wa dini na madhehebu ya Kikristu na kushindwa kuwabadili, leo Usiku saa 5:00 Kikwete atakutana na viongozi hao kwa siri na kuwabembeleza kumchagua na kumpigia kampeni kwa waumini wao.

Eneo la kikao hicho mpaka sasa hawajaambiwa, lakini Utaratibu uliopangwa watakutana kwa makundi ambapo kundi la kwanza litakuwa ni;
1. Maaskofu tu
2. Wachungaji

Maendelea kukatuma Ka INZI kufuatilia kwa ukaribu zaidi na kujua jinsi ambavyo mzee atajitetea kwao kuomba wamchague na wakawaambie waumini wao.
 
Mbona amechelewa kukutana nao, ibada c huwa inakuwa J'pili, sasa anategemea watakutana na waumini lini kabla ya uchaguzi? Ni vyema angekutana na wale wa Ijumaa manake ndio watapata muda wa kutafakari kwa kina...
 
Kwa taarifa yako maaskofu wengi hawapo kanda ya ziwa wako Mbeya leo wanaadhimisha jubilee ya askofu wa RC JIMBO LA mbeya misa ndo imekwisha sasa hivi.Wale wako bussy na mambo ya kichungaji wanaokoa kondoo wao.Hawadanganyiki
 
Dah... huu ndio udini sasa!!! Keshamalizana na waislamu sasa ananunua wakristu

halafu analaani udini

Tutafanya zaidi... mkinipa rishaa yenu
 
Well my dear friend JK ...it is too late to catch the departed plane....just go home and have a piece of mind................it is a case of too little too late.
 
Kwa taarifa yako maaskofu wengi hawapo kanda ya ziwa wako Mbeya leo wanaadhimisha jubilee ya askofu wa RC JIMBO LA mbeya misa ndo imekwisha sasa hivi.Wale wako bussy na mambo ya kichungaji wanaokoa kondoo wao.Hawadanganyiki

Kumbe walioko Mbeya ni kanisa la RC atapata wengine kwani hata kwa Membe RC hakufika Askofu bali waliwakirishwa na Padri Kubeja.
 
Labda kwa kuwa amesikia wengine wamefunga ibada jumapili badala yake kutakuwepo na ibada Jumamosi. Hapo washauri wake wanaonekana kuamka dakika za mwisho. lakini atafanikiwa?
 
Mbona Membe tayari alikuwa na RED CARD ya maaskofu kutokana na faulo aliyofanya DODOMA BUNGENI? KOCHA WAKE ATAKUBALIWA KUKATA RUFAA KWA NIABA YA MCHEZAJI? KWANZA JK HANA UWEZO WA KUJENGA HOJA AKIWA KATIKA KUNDI LA WASOMI ATAANZAJE?
 
mwehu tu huyu hana jipya ndo maana ana hangaika sana

hivi ni lini maaskofu wakakubnali kikao cha siri tena na mtu amabaye hajiheshimu?!!

sidhani kama hawa jamaa wataenda
 
dah... Huu ndio udini sasa!!! Keshamalizana na waislamu sasa ananunua wakristu

halafu analaani udini

tutafanya zaidi... Mkinipa rishaa yenu
hahhahahhhaaaaaaaaaaaaaa
 
Watu wa mwanza tupeni habari make nasikia RA na waziri alifukuzwa kazi kwa ufisadi wa Richmond walikutana na mkurugenzi wa uchaguzi mwanza kwa siri, na mjanja mmoja alirekodi hayo mazungumzo, tubandikieni hapa tuwavue nguo.
 
HABARI za Uhakika ambazo nimepokea Punde kutoka kwa viongozi wa Dini jijini Mwanza ni kuwa Baada ya Bernaed Membe kujaribu kuzungumza na viongozi wa dini na madhehebu ya Kikristu na kushindwa kuwabadili, leo Usiku saa 5:00 Kikwete atakutana na viongozi hao kwa siri na kuwabembeleza kumchagua na kumpigia kampeni kwa waumini wao.

Eneo la kikao hicho mpaka sasa hawajaambiwa, lakini Utaratibu uliopangwa watakutana kwa makundi ambapo kundi la kwanza litakuwa ni;
1. Maaskofu tu
2. Wachungaji

Maendelea kukatuma Ka INZI kufuatilia kwa ukaribu zaidi na kujua jinsi ambavyo mzee atajitetea kwao kuomba wamchague na wakawaambie waumini wao.

TOOOOOOO LATE:yield:
 
Jk masikini ajiandae kurudi chalinze 31.10.10
 
Ushauri wa bure kwa JK:
IEPUSHE TANZANIA NA MATATIZO KWA KUSIMAMIA UCHAGUZI HURU NA HAKI, UTAPATA HESHIMA KUBWA LICHA YA KUWA KUNA MAMBO HUKUFANYA VIZURI HUKO NYUMA, UTAJIPAMBANUA NA VIONGOZI WA KIAFRIKA AMBAO WAKO TAYARI KUINGIZA NCHI ZAO KWENYE MACHAFUKO ILI MRADI WABAKI MADARAKANI.

HESHIMA SIYO KUTAWALA TU HATA KUONDOKA MADARAKANI KWA NJIA YA KISTAARABU KUNAWEZA KUKUPA HESHIMA KUBWA. ACHANA NA WAPAMBE WANAKUPOTOSHA
 
Biblia inakataa Rushwa na kwamba kama msimamo wa kutomchagua JK haukutokana na udini bali dhambi za ufisadi. Kutubu ufisadi mpaka viongozi wa dini wakukubali ni ngumu kwani ili utakasishwe inabidi urudishe vile vinavyoweza kurudishwa kama sehemu ya toba. Hivi ataweza?

Vote kwa ujasiri kwa Slaa hapa ni mambo yamekwisha kwenda Kombo
 
Back
Top Bottom