Mimi namshangaa sana JK na timu yake wanapowalaumu viongozi wa dini kwa kuwa tu wametumia haki yao ya kikatiba kutoa maoni ya kutofautiana naye ...kama WALIVYOTUMIA HAKI YAO YA KIKATIBA KUMUUNGA MKONO MWAKA 2005...MKUKI KWA NGURUWE???
MYTAKE IS :- JK ALIFANYA KOSA SANA KUTUMIA VIONGOZI WA DINI MWAKA 2005 WAMFANYIE KAMPENI...NI WAZI INAWEZEKANA KUNA MAKUBALIANO ALIFANYA NAO AMBAYO HAKUYATEKELEZA NDIO MAANA WAMEMTUPA MKONO SAFARI HII..................TUWAACHE VIONGOZI WA DINI MAKANISANI NA MISIKITINI!!!