Uchaguzi 2020 Baada ya Membe na Maalim Sharif kujiandaa na Uchaguzi Mkuu, Msajili aibuka atia nia ya kukifutia usajili ACT Wazalendo

Uchaguzi 2020 Baada ya Membe na Maalim Sharif kujiandaa na Uchaguzi Mkuu, Msajili aibuka atia nia ya kukifutia usajili ACT Wazalendo

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
Barua hiyo

1594964130665.png
1594964161826.png
1594964188560.png
1594964216053.png
1594964245025.png
1594964277489.png
1594964336085.png
1594964366921.png
 
Taharuki mpya imeibuka ndani ya chama cha ACT Wazalendo baada ya uwepo kwa uwezekano mkubwa wa chama hicho kufutwa na msajili wa vyama vya siasa.

IMG_20200717_081559.jpg




Mpaka tufike Oktoba kuna mengi na kinachopangwa ni Magufuli kupita bila mpinzani

Ila patawaka moto!
 
Jana aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe alitangaza rasmi kujiunga na chama cha ACT Wazalendo

Mchakato wa Membe ulianza zaidi ya miezi minne iliyopita huku serikali ikifuatilia kwa karibu

Baada ya hivi karibuni kujiridhisha kwamba atajiunga na kuna uwezekano vyama pinzani vikamsimamisha kuwa mgombea wao,serikali kupitia ofisi ya msajili ikaibuka na kituko cha mwaka kwa kuwaandikia ACT barua ya kuwajulisha nia ya kuwaadhibu

Miongoni mwa sababu zilizotajwa kwamba ni za kutoa adhabu ni pamoja na chama hicho kuwahimiza wananchi kusimamia haki yao,kuitaka tume ya uchaguzi na vyombo vya dola kutenda haki ili uchaguzi uishe kwa amani na salama

Tayari Mutungi na timu yake kwa sasa wako katika hatua ya mwisho ya kutangaza adhabu hiyo kwa lengo la kuhakikisha CCM haipati upinzani unaostahili
 
Kuna watu wanawaombea wenzao wafe au wafiwe yaani utadhani wao hawajui maumivu yake kama wakigeuziwa upande wao.

Hivi yule Jecha kitendo tu cha kutoingia 5 bora unadhani amefurahia&kuridhishwa na matokeo yale?
 
Zitto ni strategist kama mwandishi Robert Greene. I wish baada ya uchaguzi aandike kitabu chake tujifunze mengi.

Kitendo cha Nec kutapata sababu ya mikakati ya chama chake ni wazi kwamba moto umekolea. Wapinzani mkiungana hakika mtakuwa mmewapiga CCM comeback ya kufa mtu kama ile ya Liverpool vs Barcelona.
 
Back
Top Bottom