Baada ya miaka 10 nimerudi leo Tabora, aisee Tabora imekuwa Toronto.

Baada ya miaka 10 nimerudi leo Tabora, aisee Tabora imekuwa Toronto.

Mkoa mkubwa kishenzi huooo nilitaka kuuziwa hekari moja kwa elfu 15 tu.
Barabara safi.
Bebe za kutosha nadhani nikutokana na vyuo.
Mzunguko wa hela mdogo sana kwa muda wote niliokaa sijawahi kumuona mtu anabugia hennesy au moet.
Misosi supaaa kitimoto,kuku aiseee.
Watu wako poa sana ,wanaufaza sana na bata Tabora analika japokuwa watu mifuko inachechemea.
Mwisho ndio sehemu nilipiga kazi kwa moyo wangu wote na akili zangu zote sikulipwa hata senti na Waserekali chini ya Mkuu wa Wilaya Komanya Kitwala.Mazafaka.
 
Zile baiskeli Bado zipo?

Zinaharibu Tabora jamani ni nyingi [emoji23]
 
1699625011746.png
 
yeah, hii barabara imefungua shughuli za kiuchumi, before Tabara was locked. Sasa Tabora - Kigoma via Mpanda, Sumbawanga ni super.

Nyingine ambayo itakayounganisha Tabora - Sikonge - Mbeya 374 km itaifanya Tabora itakuwa sehemu ya uwekezaji you can think of.
Hiyo ya Mbeya itafungua zaidi biashara na bus zote za kaskazini zitapita Tabora maana sio ndefu kama kupita Dodoma...
 
Mmi pia kwetu masta mwanri kapiga kazi pale kapanda miti ,huwez kumtofautisha meko na mikeka ya nchi hii na maendeleo ya Tabora yamechagizwa zaidi na mkoa kufanywa makao makuu ya Kanda ya magharibi ndio unaona ma lodge ma bar ya kufa mtu kila Kona wqhamiaji wamekuja wengi mboka ndio wanaoshusha hio mijengo mikali apo kati ambavyo sisi wazawa wa mboka tunavyoshusha misuse huku mbweni vijijini nk all in all tabora haitokuja kumsahau Mzee wa soma hio anytime soon
Duh!!..kupanda miti ndo kunafanya watu wamudu kujenga nyumba!?
 
Nimehama huko mwaka Jana baada ya kuishi miaka 8 hapo.Maisha yapo wastani sio bei juu.
 
Yeah mboka manyema.Mitaa ya mwinyi,Isevya,Bhachu,kaloleni,Relini, n.k

4 years ya do or die nimeishi huo mji.Nitakuja tembea
 
Hongera sana Aggrey Mwanri.
Nyumba kali za kisasa lami za kutosha katikati ya mji.
Zimebaki nyumba chache za wazawa za udongo katikati ya mji bila shaka miaka 5 mbele watafika dau.
Wahaya wakitoka Bukoba wakifika Tbora wanaweza kudhani wako mamtoni.
Hongereni wana Tabora.


Sawa kabina, nina swali : Umewahi pia fika Toronto?
 
Back
Top Bottom