kuna wachaga walijaribu kuleta daladala wakashindwa wenyewe, baskeli mtindo mmoko !! Hii ndiyo Mboka.Zile baiskeli Bado zipo?
Zinaharibu Tabora jamani ni nyingi [emoji23]
Hiyo ya Mbeya itafungua zaidi biashara na bus zote za kaskazini zitapita Tabora maana sio ndefu kama kupita Dodoma...yeah, hii barabara imefungua shughuli za kiuchumi, before Tabara was locked. Sasa Tabora - Kigoma via Mpanda, Sumbawanga ni super.
Nyingine ambayo itakayounganisha Tabora - Sikonge - Mbeya 374 km itaifanya Tabora itakuwa sehemu ya uwekezaji you can think of.
Duh!!..kupanda miti ndo kunafanya watu wamudu kujenga nyumba!?Mmi pia kwetu masta mwanri kapiga kazi pale kapanda miti ,huwez kumtofautisha meko na mikeka ya nchi hii na maendeleo ya Tabora yamechagizwa zaidi na mkoa kufanywa makao makuu ya Kanda ya magharibi ndio unaona ma lodge ma bar ya kufa mtu kila Kona wqhamiaji wamekuja wengi mboka ndio wanaoshusha hio mijengo mikali apo kati ambavyo sisi wazawa wa mboka tunavyoshusha misuse huku mbweni vijijini nk all in all tabora haitokuja kumsahau Mzee wa soma hio anytime soon
Nigga u ar so difficultDuh!!..kupanda miti ndo kunafanya watu wamudu kujenga nyumba!?
Hongera sana Aggrey Mwanri.
Nyumba kali za kisasa lami za kutosha katikati ya mji.
Zimebaki nyumba chache za wazawa za udongo katikati ya mji bila shaka miaka 5 mbele watafika dau.
Wahaya wakitoka Bukoba wakifika Tbora wanaweza kudhani wako mamtoni.
Hongereni wana Tabora.