Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Klabu ya Leeds United inatajwa kuwa na uhasimu mkubwa na vilabu vya Jiji la London vikiongozwa na Chelsea FC
Leeds United wamefanikiwa kurejea EPL baada ya kuinyuka 1-0 dhidi ya Barnsley katika Uwanja wa Elland Road
Washindani wao wa karibu West Bromwich Albion walipaswa kushinda dhidi ya Huddersfield Town siku ya jana (Ijumaa) lakini West Bromwich walifungwa
Leeds United wanarejea baada ya kucheza madaraja ya chini kwa miaka 16 baada ya kushuka daraja mwaka 2004
Kocha Marcelo Bielsa ameiongoza Leeds United katika kampeni ya kusaka tiketi ya kurejea Ligi Kuu na kufanikiwa kufikisha alama 87 huku akiwa na michezo miwili mkononi
Leeds United wamefanikiwa kurejea EPL baada ya kuinyuka 1-0 dhidi ya Barnsley katika Uwanja wa Elland Road
Washindani wao wa karibu West Bromwich Albion walipaswa kushinda dhidi ya Huddersfield Town siku ya jana (Ijumaa) lakini West Bromwich walifungwa
Leeds United wanarejea baada ya kucheza madaraja ya chini kwa miaka 16 baada ya kushuka daraja mwaka 2004
Kocha Marcelo Bielsa ameiongoza Leeds United katika kampeni ya kusaka tiketi ya kurejea Ligi Kuu na kufanikiwa kufikisha alama 87 huku akiwa na michezo miwili mkononi