Baada ya miaka 20 na kuendelea tutakua na jamii ya hovyo sana na baadhi ya KOO hazitakuwepo.

Baada ya miaka 20 na kuendelea tutakua na jamii ya hovyo sana na baadhi ya KOO hazitakuwepo.

Lamisele

Senior Member
Joined
Aug 17, 2022
Posts
147
Reaction score
303
Habari za leo ndugu wana jukwaa,nimekaa hapa natafakari haya maisha ya Karne yetu sijui tunaenda wapi,kuna baadhi ya mambo yanatafakarisha sana hasa nikiwaangalia hawa wanangu na ulimwengu unavyo kwenda kasi.
Moja; mtu tajiri duniani Bwana Musk yeye ana mke na watoto afu anatengeneza mke bandia swali najiuliza atakaye oa hilo TOI ukoo wake utaendelezwa vipi au ndio basi tena,ukiugua je?linakupeleka hospitali?na ruti za kupeleka uji na msosi litakuletea? na hizo pesa unazokua bize unazitafuta utakula na nani? ninachojua ukitoka mishe umechoka au ukiwa umekata tamaa na jambo flani ukiwaona wanao wapo kuna faraja na nguvu flani unazipata,hili jambo ni la kulitafakari sn na ni kampeni za kupoteza KOO za watu na low thinkers ndio wataadhirika ila watu wenye akili hawawezi kulikubali.
Pili;Vijana wa kizazi hiki kupenda kitonga na starehe zisizo na maana,unapenda vitu vizuri hutaki kufanya kazi hata kupelekea wengine kuwa mashoga hili nalo linanitafakarisha sn na kama mzazi namwomba sn Mungu na kuwafundisha watoto kazi wasizoee vya bure hapa napo Kwa Kasi iliopo ya vijana kuwa mabwabwa ninaogopa baadhi ya KOO zitapotea kama tusipo kuwa serious na malezi ya watoto wetu.
Tatu;Kampeni ya kataa ndoa,hii Kampeni nayo ni ya kipuuzi sn hakuna jambo lolote hapa duniani ni rahisi Kila kitu kina changamoto zake ni kujitoa ili lifanikiwe hata kwenye ndoa lazima ujitoa kwelikweli ili ndoa idumu Kwa hio haya mambo ya kataa ndoa ndio yanatuletea usaliti hasa tuliopo kwenye ndoa vijana wanajidai hawataki kuoa huku wanatembea na wake zetu yaani ukikamata unapiga Shaba kabisa si uoe wa kwako kumendea wake za watu ndio nn.Ni hayo tu na wewe toa maoni yako kuhusu maada hii.ASANTE.
 
Habari za leo ndugu wana jukwaa,nimekaa hapa natafakari haya maisha ya Karne yetu sijui tunaenda wapi,kuna baadhi ya mambo yanatafakarisha sana hasa nikiwaangalia hawa wanangu na ulimwengu unavyo kwenda kasi.
Moja; mtu tajiri duniani Bwana Musk yeye ana mke na watoto afu anatengeneza mke bandia swali najiuliza atakaye oa hilo TOI ukoo wake utaendelezwa vipi au ndio basi tena,ukiugua je?linakupeleka hospitali?na ruti za kupeleka uji na msosi litakuletea? na hizo pesa unazokua bize unazitafuta utakula na nani? ninachojua ukitoka mishe umechoka au ukiwa umekata tamaa na jambo flani ukiwaona wanao wapo kuna faraja na nguvu flani unazipata,hili jambo ni la kulitafakari sn na ni kampeni za kupoteza KOO za watu na low thinkers ndio wataadhirika ila watu wenye akili hawawezi kulikubali.
Pili;Vijana wa kizazi hiki kupenda kitonga na starehe zisizo na maana,unapenda vitu vizuri hutaki kufanya kazi hata kupelekea wengine kuwa mashoga hili nalo linanitafakarisha sn na kama mzazi namwomba sn Mungu na kuwafundisha watoto kazi wasizoee vya bure hapa napo Kwa Kasi iliopo ya vijana kuwa mabwabwa ninaogopa baadhi ya KOO zitapotea kama tusipo kuwa serious na malezi ya watoto wetu.
Tatu;Kampeni ya kataa ndoa,hii Kampeni nayo ni ya kipuuzi sn hakuna jambo lolote hapa duniani ni rahisi Kila kitu kina changamoto zake ni kujitoa ili lifanikiwe hata kwenye ndoa lazima ujitoa kwelikweli ili ndoa idumu Kwa hio haya mambo ya kataa ndoa ndio yanatuletea usaliti hasa tuliopo kwenye ndoa vijana wanajidai hawataki kuoa huku wanatembea na wake zetu yaani ukikamata unapiga Shaba kabisa si uoe wa kwako kumendea wake za watu ndio nn.Ni hayo tu na wewe toa maoni yako kuhusu maada hii.ASANTE.
Kwani ukoo kuendelea lazima?

Kama mtu hataki kuendeleza kizazi, wewe una mamlaka gani ya kumlazimisha?
 
Hawa watu wengine wanalazimisha kuzaana kama watasaidia kulea vile.
Mimi ningepata wa kuzaa naye ningezaa. Tatizo jamii imekuwa ya hovyo mno. Wanawake walioolewa wanapata matunzo na huduma zote lakini bado wanakosa uaminifu. Swala la usawa wa Kijinsia nalo huwa linanichefua. Nadhani kwa kizazi hiki, kuoa Ni ujinga. Bora kununua robot
 
Mimi ningepata wa kuzaa naye ningezaa. Tatizo jamii imekuwa ya hovyo mno. Wanawake wanapata matunzo na huduma zote lakini bado wanakosa uaminifu. Nadhani kwa kizazi hiki, kuoa Ni ujinga
Watoto wenyewe wa siku hizi ukizaa wanakuja kukuuliza, kwa nini umetuleta dunia hii yenye mateso?

Soma huyu jamaa muhindi amewashitaki wazazi wake kwa kumzaa.

Halafu bado tunalazimishana kuzaa?


_105544964_nihilanand1.jpg.webp


Indian man to sue parents for giving birth to him​





    • Published
      7 February 2019

    By Geeta Pandey
    BBC News, Delhi

    A 27-year-old Indian man plans to sue his parents for giving birth to him without his consent.
    Mumbai businessman Raphael Samuel told the BBC that it's wrong to bring children into the world because they then have to put up with lifelong suffering.
    Mr Samuel, of course, understands that our consent can't be sought before we are born, but insists that "it was not our decision to be born".
    So as we didn't ask to be born, we should be paid for the rest of our lives to live, he argues.

    A demand like this could cause a rift within any family, but Mr Samuel says he gets along very well with his parents (both of whom are lawyers) and they appear to be dealing with it with a lot of humour.
    In a statement, his mother Kavita Karnad Samuel explained her response to "the recent upheaval my son has created".

    "I must admire my son's temerity to want to take his parents to court knowing both of us are lawyers. And if Raphael could come up with a rational explanation as to how we could have sought his consent to be born, I will accept my fault," she said.
    Mr Samuel's belief is rooted in what's called anti-natalism - a philosophy that argues that life is so full of misery that people should stop procreating immediately.




  • This, he says, would gradually phase out humanity from the Earth and that would also be so much better for the planet.
    "There's no point to humanity. So many people are suffering. If humanity is extinct, Earth and animals would be happier. They'll certainly be better off. Also no human will then suffer. Human existence is totally pointless."
    A year ago, he created a Facebook page, Nihilanand, which features posters that show his images with a huge fake beard, an eye-mask and anti-natalist messages like "Isn't forcing a child into this world and forcing it to have a career, kidnapping, and slavery?" Or, "Your parents had you instead of a toy or a dog, you owe them nothing, you are their entertainment."

 
Watoto wenyewe wa siku hizi ukizaa wanakuja kukuuliza, kwa nini umetuleta dunia hii yenye mateso?

Soma huyu jamaa muhindi amewashitaki wazazi wake kwa kumzaa.

Halafu bado tunalazimishana kuzaa?


_105544964_nihilanand1.jpg.webp


Indian man to sue parents for giving birth to him​





    • Published
      7 February 2019

    By Geeta Pandey
    BBC News, Delhi

    A 27-year-old Indian man plans to sue his parents for giving birth to him without his consent.
    Mumbai businessman Raphael Samuel told the BBC that it's wrong to bring children into the world because they then have to put up with lifelong suffering.
    Mr Samuel, of course, understands that our consent can't be sought before we are born, but insists that "it was not our decision to be born".
    So as we didn't ask to be born, we should be paid for the rest of our lives to live, he argues.

    A demand like this could cause a rift within any family, but Mr Samuel says he gets along very well with his parents (both of whom are lawyers) and they appear to be dealing with it with a lot of humour.
    In a statement, his mother Kavita Karnad Samuel explained her response to "the recent upheaval my son has created".

    "I must admire my son's temerity to want to take his parents to court knowing both of us are lawyers. And if Raphael could come up with a rational explanation as to how we could have sought his consent to be born, I will accept my fault," she said.
    Mr Samuel's belief is rooted in what's called anti-natalism - a philosophy that argues that life is so full of misery that people should stop procreating immediately.




  • This, he says, would gradually phase out humanity from the Earth and that would also be so much better for the planet.
    "There's no point to humanity. So many people are suffering. If humanity is extinct, Earth and animals would be happier. They'll certainly be better off. Also no human will then suffer. Human existence is totally pointless."
    A year ago, he created a Facebook page, Nihilanand, which features posters that show his images with a huge fake beard, an eye-mask and anti-natalist messages like "Isn't forcing a child into this world and forcing it to have a career, kidnapping, and slavery?" Or, "Your parents had you instead of a toy or a dog, you owe them nothing, you are their entertainment."
😅😅😅
 
Back
Top Bottom