Baada ya miaka 28 kupita, Freshley Mwamburi asema kumsamehe Stellah kwa kumuacha na kuolewa na Mjapani futi 4

Baada ya miaka 28 kupita, Freshley Mwamburi asema kumsamehe Stellah kwa kumuacha na kuolewa na Mjapani futi 4

Mwaka juzi nilipomuona ktn ama citizen tv ya Kenya akifanya mahojiano ndio nikajua kumbe ilikua hadithi ya kweli.

Mshikaji aliumia sana aisee, nilijaribu kuvaa viatu vya mshikaji nilimsikitikia sana. Mbaya zaidi jamaa alibeba wapambe, ndugu na jamaa kwenda kumpokea Stella uwanja wa ndege halafu akaisha kupata aibu kubwa ya mwaka.

Hua najiulizakama Stella alijua alikua na mume mwingine ilikuaje akamjulisha mashikaji ratiba ya tarehe yake kurudi Kenya, si bora angemficha. Ila wanawake wako hivyo siku wakikuaibisha wanakuaibisha kweli.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji26][emoji26] Daahh kuwekeza kwa mwanamke Ni upumbavu mkubwa sana
 
Jibu lako linaonesha unasomesha mkuu..

Hauna ndugu,.?? Wadogo zako, binamu, wasio na uwezo kijijini unapotokea hadi usomeshe mwanamke.???

Pole in advance...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ngoja. Apigwe tukio ndio atajua kuwa hajui
 
Back
Top Bottom