Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Nilikuwa napenda sana kusikiliza Rivers of Babylon.Alafu nilikuja kugundua baadae sana kuwa Boney M ni (waswahili) na ABBA ni Wazingu (swedish)....mwanzo nilijuaga makundi yote ni ya Wazungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa napenda sana kusikiliza Rivers of Babylon.Alafu nilikuja kugundua baadae sana kuwa Boney M ni (waswahili) na ABBA ni Wazingu (swedish)....mwanzo nilijuaga makundi yote ni ya Wazungu.
They could not explain exactly what's was bothering themWhy?
Nyimbo yao niayoipenda sanaaI have a dream.
Nilikuwa napenda sana kusikiliza Rivers of Babylon.
=What a come back!What a coming back!
my today's dedication to you Smart911 go and listen to that song again and again naona nimeandika lyrics zake sijui zimeenda wapi so that's your tonight assignment.... chiquitita - Abba
kwa sasa hatuna music bali tuna kelele tu,na ukitaka uthibishe hilo sikiliza nyimbo za sasa alafu sikiliza na ya boney m au the commodores unaitwa night shift,Nilisikia hizi habari mahali nikafurahi sana kusikia kama bado wanafikiria muziki.
Hawa nilikuwa nawafananisha sana na wale Boney M.
Ni bahati mbaya sana sidhani kama kizazi hiki wanaweza kujua utamu wa muziki halisi uliokuwa unafanywa na haya makundi.
Ila kwa Boney M wao walishapoteza member mmoja, yule wa kiume....hata wakirudi tutakosa zile flavour zao.
mmh waje watukomboe tumetekwa na singeli. Buti kama hii huwezi nunua@ weka mwambaaaHivi kuna Joto la Baridi?
Abba was a white version of Boney MKWa wale vijana wenzangu wa zamani wanaweza kushangaa kidogo kama kweli kundi hili lililowahi kutamba sana miaka 35 iliyopita na vibao kibao kama vile Chiquitita, Money Money na nyingine kibao.
Habari ikufikie kuwa kundi hili lenye vichwa hatari kama vile Bjorn Ulvaeus, Benny Andersson, Agnetha Faltskog na Anni-Frid Lyngstad limeamua kuungana tena na kurudisha kiu kwa siye vijana wa zamani ambapo tayari limeingia studio na kutengeneza nyimbo mbili za kuanzia moja wapo ni I Still Have Faith In You.
Karibuni tena ABBA, tulizoea kusikia nyimbo zenu sikukuu za Krismasi tu!
ABBA return after 35 years with two new songs