Hongera Sana CCMl zile Noah hata msipoleta tena View attachment 1053132View attachment 1053133
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha siasa bana!!! Kwani yeye hataki sifa ya kuongoza na points kibao,Leo imewakalia vibaya tu full stop hakuna cha mbeleko wala nini.!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]oyaaaaaaaaa!
Yeyote alienuna apasuke kabisa
How?Kwani Matokeo ya Capeverde tayari?Baadae ya miaka 39 hatimaye tumefuzu kucheza Afcon.
Wale wote mliokuwa mnaombea timu YENU mabaya shame on you