mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,152
- 3,473
Si kila anachojaribu. Vyengine anafeli au hukumsikiliza kwenye khutuba yake leo pale ikulu?Endeleeni na chuki zenu lakini JPM ni bahati kwa watanzania kila anachojaribu kinajibu. Ferguson huwa anasema si ubora wa timu pekee na bahati lazima uwe nayo. Maximo mlimjaza manoti lakini wapi??