Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Naombea ata FIFA waichunguze iyo mechi maana nimenusa upangaji wa matokeo
 
Awamu nyingine maendeleo yalikuwa hayatangazwi kwa nguvu kama hii, sasa hivi hata mzee akiongea na simu ya nje tu aaaa mtajua. Siku akiongea na Putin nafikiri itakuwa day off
 
hongera zako zna akil.
 
Usisahau kafara ya mtoto aliyetolewa hapo kwenye lango jana.
 
Mafanikio ya Taifa Stars yametokana na Timu za Afcon kuongezwa, na sio Tanzania tu ilio nufaika kuna Burundi, Namibia, Madagascar ata na Kenya.Afcon zimeongezwa timu kutoka timu 16 adi 24, kama ingekua idadi ya zamani Taifa Stars isingefuzu pamoja na izo timu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifuatacho ITV
 
Kongoletulation Taifa Stars, Tanzania tumandika historia nyingine🇹🇿
 
Huwezi ukapanda mti leo na kuvuna kesho. Sifa pia zimuendee J.k. hawa wote wamepata motisha tangu kipindi cha J.K
Endeleeni na chuki zenu lakini JPM ni bahati kwa watanzania kila anachojaribu kinajibu. Ferguson huwa anasema si ubora wa timu pekee na bahati lazima uwe nayo. Maximo mlimjaza manoti lakini wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…