mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,152
- 3,473
Si kila anachojaribu. Vyengine anafeli au hukumsikiliza kwenye khutuba yake leo pale ikulu?Endeleeni na chuki zenu lakini JPM ni bahati kwa watanzania kila anachojaribu kinajibu. Ferguson huwa anasema si ubora wa timu pekee na bahati lazima uwe nayo. Maximo mlimjaza manoti lakini wapi??
Kwa taarifa yako muda huu niko tulip bar natoa hang over ya beer nlizo kunywa kwa nusu bei,Tanzania na taifa stars siyo ya baba yako ni ya kila raia.Umepata aibu ya mwaka kwa unafiki
Basi poa na uchukue hilo kombeForget Form One Chemistry, I'm dealing with cutting edge stuff. The Hydrogen Bomb!
kwa taarifa yako, Kenya tumecheza afcon nne tangu Tanzania ilipocheza afcon yake ya mwishoMafanikio ya Taifa Stars yametokana na Timu za Afcon kuongezwa, na sio Tanzania tu ilio nufaika kuna Burundi, Namibia, Madagascar ata na Kenya.Afcon zimeongezwa timu kutoka timu 16 adi 24, kama ingekua idadi ya zamani Taifa Stars isingefuzu pamoja na izo timu.
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππraha iliyoje?
ππππ
yalishaota bila shakaπππππ³π³π³π³π€£π€£Inamaana maombi yangu yanataka kuota mbawa?
kawaidaaaUmeniwahi kutangaza goal
Tangu lini CCM ikashinda kihalali bila wizi?Tunafukua makaburi
Unaitendea haki kazi yako ya uchocheziTunafukua makaburi