Baada ya miaka 5 mbele naiona Yanga SC ikiwa klabu yenye misuli ya kutosha kiuchumi

Baada ya miaka 5 mbele naiona Yanga SC ikiwa klabu yenye misuli ya kutosha kiuchumi

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Katika maeneo ambayo yanga wamefanikiwa kuset msimu huu ni kwenye management, klabu yoyote ikiwa na management goigoi lazima mambo mengi yatakwama, Matunda ya mafanikio ndani na nje ya uwanja ya klabu yanaanzia kwenye management.

Kikosi cha uongozi kilichoko yanga kwa sasa kina kiu kubwa sana ya mafanikio na bahati nzuri ni vijana wenye vision ya kuona mbali, Kikosi hiki kikiongozwa na Eng; Hersi, Arafat, Senzo mbatha, Simon Patrick, Haji mfikirwa, Hassan bumbuli, ukiachilia mbali wajumbe wa kamati ya utendaji ni vijana ambao kwanza ni watoto wa mjini hivyo siasa za yanga na simba ndani na nje ya uwanja wanazijua vizuri Sana.

Pili wanafikika kiurahisi ktk masuala mbalimbali ya kuijenga timu, tatu ni vijana wasomi wanaojitambua na kujua wafanye nini na kwa muda gani, Uwepo wa watu hao wakiongozwa na kichwa kingine matata Mr senzo mbatha ni moja ya siraha kubwa inayoendelea kuinufaisha yanga kwenye mambo mbalimbali ikiwemo suala zima la udhamini.

Mpaka sasa hivi yanga ina uhakika wa kukunja B.7 kwa msimu Kutokana na udhamini ilionao, na bado wadhamini wengine awajatia mzigo, kwa mfano GSM bado, Taifa gas bado, maji ya Afya bado, Udhamini huu ni Mali ya klabu ya yanga ivyo kwa maana hiyo Wawekezaji watakaojitokeza kununua hisa watatakiwa kujipanga vilivyo kuweka mzigo wa maana, hapo ni thamani ya mikataba tu bado watakwenda kuthamanisha logo ya klabu thamani yake

Ndio maana zoezi la kuandikisha wanachama linaendelea nchi nzima, bila ya vichwa vilivyoko pale juu na uwepo wa uongozi uliopita wa Dr mshindo msola nafikiri mambo yasingekuwa mepesi kiivyo, hakuna klabu yenye udhamini mnono Kama yanga kwa afrika mashariki, Kama ipo itajwe hapa, kwaiyo ndani ya miaka 5 ijayo thamani ya udhamini huu itaonekana na wakati huo tiyali itakuwa chini ya wawekezaji, Kongole viongozi, kongole wanachama na mashabiki yajayo yanafurahisha
 
VP udhamini wa m bet pale msimbazi n kiasi gani?

Kama unataka kufananisha na timu nyingne n lazma uje na tafiti zinazoonesha timu nyingne zna udhamin kias gani?

Je gormahia , VP kuhusu apr , na je Simba na Azam udhamin wao n bei gani?
 
Na wewe mleta mada (individually) baada ya miaka 5 utakuwa na hali gani kiuchumi??
 
Kosa ambalo bado Yanga wanafanya ni kutotumia wingi wa watu ( mashabiki na wachama) walio tapakaa afrika mashariki yote kujiletea maendeleo!
 
Katika maeneo ambayo yanga wamefanikiwa kuset msimu huu ni kwenye management, klabu yoyote ikiwa na management goigoi lazima mambo mengi yatakwama, Matunda ya mafanikio ndani na nje ya uwanja ya klabu yanaanzia kwenye management.

Kikosi cha uongozi kilichoko yanga kwa sasa kina kiu kubwa sana ya mafanikio na bahati nzuri ni vijana wenye vision ya kuona mbali, Kikosi hiki kikiongozwa na Eng; Hersi, Arafat, Senzo mbatha, Simon Patrick, Haji mfikirwa, Hassan bumbuli, ukiachilia mbali wajumbe wa kamati ya utendaji ni vijana ambao kwanza ni watoto wa mjini hivyo siasa za yanga na simba ndani na nje ya uwanja wanazijua vizuri Sana.

Pili wanafikika kiurahisi ktk masuala mbalimbali ya kuijenga timu, tatu ni vijana wasomi wanaojitambua na kujua wafanye nini na kwa muda gani, Uwepo wa watu hao wakiongozwa na kichwa kingine matata Mr senzo mbatha ni moja ya siraha kubwa inayoendelea kuinufaisha yanga kwenye mambo mbalimbali ikiwemo suala zima la udhamini.

Mpaka sasa hivi yanga ina uhakika wa kukunja B.7 kwa msimu Kutokana na udhamini ilionao, na bado wadhamini wengine awajatia mzigo, kwa mfano GSM bado, Taifa gas bado, maji ya Afya bado, Udhamini huu ni Mali ya klabu ya yanga ivyo kwa maana hiyo Wawekezaji watakaojitokeza kununua hisa watatakiwa kujipanga vilivyo kuweka mzigo wa maana, hapo ni thamani ya mikataba tu bado watakwenda kuthamanisha logo ya klabu thamani yake

Ndio maana zoezi la kuandikisha wanachama linaendelea nchi nzima, bila ya vichwa vilivyoko pale juu na uwepo wa uongozi uliopita wa Dr mshindo msola nafikiri mambo yasingekuwa mepesi kiivyo, hakuna klabu yenye udhamini mnono Kama yanga kwa afrika mashariki, Kama ipo itajwe hapa, kwaiyo ndani ya miaka 5 ijayo thamani ya udhamini huu itaonekana na wakati huo tiyali itakuwa chini ya wawekezaji, Kongole viongozi, kongole wanachama na mashabiki yajayo yanafurahisha
Sijui kwa nini watu wako so shallow kwenye argument
Yanga kwa sasa inafadhiliwa na GSM, na ina mkataba wa udhamini wa AZAM and Sport pesa.
Kama club haijaweza kuwa na vyanzo reliable vya mapato. Hatujui Sport pesa na Azam watakaa kwa muda gani lakini definitely hawatakaa milele.
Unaweza ku-urge Yanga itakuwa imara kifedha pale ambapo tu imekuwa na vyanzo vyake vya uhakika vya fedha ambavyo vitasimamiwa na uongozi dhabiti , unaotokana na mfumo wa uendeshaji mzuri. Yanga bado haijafika hapo. Kupata ka- deal cha sport fedha kusiwadanganye
 
kambi uturuki [emoji1787][emoji1787].
Angalieni zisije zikawa billion 7 hewa
 
Chonde chonde viongozi wa Yanga! Mkumbuke pia kujenga viwanja walau viwili vya michezo kule Kigamboni, kwa ajili ya mazoezi ya timu, na pia kwa ajili ya mechi.

Haiwezekani Azam wana uwanja bora kabisa! Timu ndogo tu na changa kabisa kama Ihefu wana uwanja kule Mabarari, Geita Gold wana uwanja wao mpya, Namungo, Mtibwa, KMC wapo kwenye mchakato! Gwambina, timu ya daraja la pili huko! Ina uwanja wake!

Why Yanga hawana? Ikumbukwe ule uwanja wa Kaunda haufai, na hauna sifa ya kuitwa uwanja wa mpira. Chondechonde! Zaidi ya miaka 80! Bado timu haina uwanja wala hostel ya kueleweka kwa ajili ya wachezaji!!!
 
Right now you are experiencing "Spain" without "S".
I can't experience such a thing because of Yanga or Simba.

I'm fully responsible for my future 100% bro. No one else is responsible for my life, no parent, no politician, no devil nor God..it is me and me only who is responsible for my future.

And my primary responsibility is to make tomorrow be better then today.

And my f*ck** motto is EDOSA. you know what it means???

"Each Day One Step Ahead"

This is what I chant several times each morning before I take my f**ng ass out of bed.

And I push harder and harder as I really know, it is me alone against millions of ups and downs....Na milango inafunguka kila kukicha because I have accepted full responsibility and I force them to open by effort, discipline, dedication and commitment
 
Sijui kwa nini watu wako so shallow kwenye argument
Yanga kwa sasa inafadhiliwa na GSM, na ina mkataba wa udhamini wa AZAM and Sport pesa.
Kama club haijaweza kuwa na vyanzo reliable vya mapato. Hatujui Sport pesa na Azam watakaa kwa muda gani lakini definitely hawatakaa milele.
Unaweza ku-urge Yanga itakuwa imara kifedha pale ambapo tu imekuwa na vyanzo vyake vya uhakika vya fedha ambavyo vitasimamiwa na uongozi dhabiti , unaotokana na mfumo wa uendeshaji mzuri. Yanga bado haijafika hapo. Kupata ka- deal cha sport fedha kusiwadanganye
 
Sijui kwa nini watu wako so shallow kwenye argument
Yanga kwa sasa inafadhiliwa na GSM, na ina mkataba wa udhamini wa AZAM and Sport pesa.
Kama club haijaweza kuwa na vyanzo reliable vya mapato. Hatujui Sport pesa na Azam watakaa kwa muda gani lakini definitely hawatakaa milele.
Unaweza ku-urge Yanga itakuwa imara kifedha pale ambapo tu imekuwa na vyanzo vyake vya uhakika vya fedha ambavyo vitasimamiwa na uongozi dhabiti , unaotokana na mfumo wa uendeshaji mzuri. Yanga bado haijafika hapo. Kupata ka- deal cha sport fedha kusiwadanganye
Unadhani mtu aliyejaza kinyesi kwenye pichu atakuelewa?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Sijui kwa nini watu wako so shallow kwenye argument
Yanga kwa sasa inafadhiliwa na GSM, na ina mkataba wa udhamini wa AZAM and Sport pesa.
Kama club haijaweza kuwa na vyanzo reliable vya mapato. Hatujui Sport pesa na Azam watakaa kwa muda gani lakini definitely hawatakaa milele.
Unaweza ku-urge Yanga itakuwa imara kifedha pale ambapo tu imekuwa na vyanzo vyake vya uhakika vya fedha ambavyo vitasimamiwa na uongozi dhabiti , unaotokana na mfumo wa uendeshaji mzuri. Yanga bado haijafika hapo. Kupata ka- deal cha sport fedha kusiwadanganye
Uwezi kurukia kumi kabla ujaanza na moja, yanga tiyali wako kwenye njia sahihi ya kuelekea uko unakosema, pesa inayowekwa na wadhamini iyo iyo ndo inakwenda kutengeneza njia ya kuweka vyanzo vya mapato, kwa mfano sasa hivi kuna mradi wa kusajili wanachama nchi nzima unafikiri huo mradi unaendeshwa bila gharama? Na gharama izo unategemea zinatoka wapi? Ni fedha izo izo za wadhamini ndo zinawezesha kufanikisha chanzo icho cha mapato ya klabu, unaposema mfumo wa uongozi mzuri sijui hoja yako ni ipi, Uongozi bora na usimamiaji wa masuala muhimu ya klabu ndo yamefanikisha icho unachokiona hapo, kadri timu inavyozidi kujijenga na brand yake pia inakua, leo wapo sportpesa keshokutwa watakuwepo wengine na wengine kutegemea wakati husika kwaiyo tusiwe na roho za wivu na chuki zisizokuwa na msingi ni bora kujifunza yaliyo mazuri kwa unayeona kakuzidi mahala kuliko kutafuta namna ya kujaribu kumshusha wakati huo unazidi kudidimia
 
VP udhamini wa m bet pale msimbazi n kiasi gani?

Kama unataka kufananisha na timu nyingne n lazma uje na tafiti zinazoonesha timu nyingne zna udhamin kias gani?

Je gormahia , VP kuhusu apr , na je Simba na Azam udhamin wao n bei gani?
Mtatangaziwa huo udhamini wa M-bet na viongozi wenu alafu utalinganisha, M-bet kawapa b.15 kwa miaka 5, kwa maana b.3 kila msimu, Sportpesa kaweka b.12.3 kwa yanga kwa miaka 3, inamaana b.4.3 kila msimu na bado atujaweka bonus hapo
 
Chonde chonde viongozi wa Yanga! Mkumbuke pia kujenga viwanja walau viwili vya michezo kule Kigamboni, kwa ajili ya mazoezi ya timu, na pia kwa ajili ya mechi.

Haiwezekani Azam wana uwanja bora kabisa! Timu ndogo tu na changa kabisa kama Ihefu wana uwanja kule Mabarari, Geita Gold wana uwanja wao mpya, Namungo, Mtibwa, KMC wapo kwenye mchakato! Gwambina, timu ya daraja la pili huko! Ina uwanja wake!

Why Yanga hawana? Ikumbukwe ule uwanja wa Kaunda haufai, na hauna sifa ya kuitwa uwanja wa mpira. Chondechonde! Zaidi ya miaka 80! Bado timu haina uwanja wala hostel ya kueleweka kwa ajili ya wachezaji!!!
Nafikiri hotuba ya Rais wa yanga uliisikia kuhusu suala la uwanja kwaiyo kuwa na subira mikakati ni kujenga huo uwanja ndani ya miaka 2 ijayo wala usiofu
 
Unadhani mtu aliyejaza kinyesi kwenye pichu atakuelewa?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ukishakuwa mtu wa kuwaza vinyesi kichwani mwako kila saa uwezi kufikiria nje ya box, ni bahati mbaya Sana kuwa tunaongoza watu wengi wenye fikra za vinyesi Kama wewe ndo maana tunazidi kuneemeka, Watu Kama nyie mtaweza kuhoji kitu gani wakati akili zenyewe ndo izo
 
Nafikiri hotuba ya Rais wa yanga uliisikia kuhusu suala la uwanja kwaiyo kuwa na subira mikakati ni kujenga huo uwanja ndani ya miaka 2 ijayo wala usiofu
Sawa. Muda ni rafiki mzuri. Maana ni miaka sasa! Kila anayeingia madarakani, anatoa ahadi! Akimaliza muda wake, anaenda kugombea ubunge. Maana hiyo ndiyo mipango ya muda mrefu kwa viongozi wa hizi timu mbili kongwe nchini
 
Sijui kwa nini watu wako so shallow kwenye argument
Yanga kwa sasa inafadhiliwa na GSM, na ina mkataba wa udhamini wa AZAM and Sport pesa.
Kama club haijaweza kuwa na vyanzo reliable vya mapato. Hatujui Sport pesa na Azam watakaa kwa muda gani lakini definitely hawatakaa milele.
Unaweza ku-urge Yanga itakuwa imara kifedha pale ambapo tu imekuwa na vyanzo vyake vya uhakika vya fedha ambavyo vitasimamiwa na uongozi dhabiti , unaotokana na mfumo wa uendeshaji mzuri. Yanga bado haijafika hapo. Kupata ka- deal cha sport fedha kusiwadanganye
Hizo Club ni mali ya serikali au ccm so wao ndio wanamaamuzi
 
Sawa. Muda ni rafiki mzuri. Maana ni miaka sasa! Kila anayeingia madarakani, anatoa ahadi! Akimaliza muda wake, anaenda kugombea ubunge. Maana hiyo ndiyo mipango ya muda mrefu kwa viongozi wa hizi timu mbili kongwe nchini
Nafikiri safari hii wako serious Sana na icho kitu na mipango yao inawezekana kwa namna ambavyo wameshaset namna watavyopata pesa za ujenzi na sio habari za wanachama kuchangia ujenzi, ivyo jipe muda blah blah za viongozi wa zamani zilishapita na sasa ni kazi tu
 
Back
Top Bottom