NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Eeeh avae, pole.Nimelikosa hili tukio muhimu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh avae, pole.Nimelikosa hili tukio muhimu sana
Sawa shukran, ni wapare wa maeno gani huko moshi?Wapare
Wengi wanapatikana eneo linaloitwaSawa shukran, ni wapare wa maeno gani huko moshi?
Shukran mkuuWengi wanapatikana eneo linaloitwa
Usangi Wilaya ya Mwanga.
Jina la Joseph na matambiko wapi na wapii23 December 2022
Same, Kilimanjaro
Tanzania
CHIFU JOSEPH MBAZI II ATAWAZWA LEO, KUENDELEZA HISTORIA YA JAMII
Tukio hilo adhimu la kuendeleza historia ya sehemu hiyo leo katika tarafa ya Mbaga, tukio la kumpa zana na majukumu ya kijamii limefanyika kwa kumsimika chifu.
Mojawapo wa jukumu lake chifu ni kuendeleza pia kutunza historia ya jamii kwa majina n.k zisipotee
Source : Global TV online
Machifu waliopita kutoka eneo hili la Mbaga Same, iliyopo kaskazini katika nchi ya Tanganyika ni katika mtiririko huu (chini), bahati mbaya wale wa nyuma kabisa miaka waliyokuwa madarakani haikunukuliwa hadi ya kina chifu Joseph Mapombe Madafa
Eneo Mbaga Same
Chiefs (title Mangi)
.... - .... Seangasu
.... - .... Kware
.... - .... Nzovu Madiva
.... - .... Kware Chasimba
.... - .... Nzovu
.... - .... Luvigho
.... - .... Mashombo
.... - .... Madafa
.... - .... Mapombe
.... - .... Joseph Mapombe
.... - 1962 Mbazi
Jina la Joseph na matambiko wapi na aai