Baada ya miaka kadhaa kutakuwa na ongezeko la watu kwenye matatizo ya moyo kwa sababu ya kubeti...

Baada ya miaka kadhaa kutakuwa na ongezeko la watu kwenye matatizo ya moyo kwa sababu ya kubeti...

Sport Pesa nao wanadhani hapa ni Kenya 2000/mkeka wa Jackpot wamejichanganya. Kuweka pesa kwenye akaunti mnakata halafu kiwango kiko juuuu! Big up M-bet

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Acha kubeti, hela yako fanyia biashara

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mbona hata wafanya biashara wana bet?
 
Mbona hata wafanya biashara wana bet?
Nilimwambia aache kubet hela yake afanyie biashara, soma maelezo yake ya mwisho![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom