Baada ya miaka mitano hawa ma-celebz watakuwa wapi?


chungu kumeza ,tamu kutema
 
ahahahahahah unaleta story za manyani kwenye mikoko daaah hatari sana blaza jaribu kuwa makini angalia wp ndio ulete kura za maoni hapa sio bungen kama umepewa nafasi ya kuhamasisha nenda kwenye jukwaa la siasi huku tuachie wenyewe
 
Wadada fanya kupita ladytiger_fashions instagram na Facebook ujionee vya ukweli kuanzia beach, club, ofisini, casual hadi vya ukweni
Kaka wapendezeshe uwapendao... Umaridadi huficha umasikini njoo huku hutojutia... Ni dhambi mbaya kukosa kuvutia na suluhisho lipo
 
Mambo yatakua magumu kwao umejuaje? Wewe ni Mungu? Sometimes tuwe tunafikiria mambo ya maana.Wakati kama huu nchi ipo kwenye attention kubwa ya kura ya maoni ya katiba na uchaguzi mkuu wewe unawaza miaka mitano baadaye ya akina wema!

Hahahaha. Makavu live! Big up sana dadaake.
 
nifah natamani kuelewa hapa!
Hahahaaa, kipi ambacho hujaelewa?
Hizo emoticons nimemaanisha kwaheri na message sent.
Hope I make it clear.
 
Last edited by a moderator:

JF kila mtu anaongea lake tu, duh Bill Gate agongee 100! Ngoja mie niende kwa mama muuza anipe cha mia tano niongeze siku za kuishi.
 
JF kila mtu anaongea lake tu, duh Bill Gate agongee 100! Ngoja mie niende kwa mama muuza anipe cha mia tano niongeze siku za kuishi.

Wewe umekuta ndizi nyama kwenu basi umevuta hand break unajua haviishi.
Bill gates anaweza .......
Utanijibu ooh dola billion 87 kuisha ni impossible.
Wewe kama unamkataba na mungu good for you.
 
Hawa wanaotoa hoja za kifo kisa tu mtoa mada kauliza miaka 5 ijayo ya hao mastaa wananishangaza sana, so kwa sababu kuna kufa ndo mtu asifikirie ya mbele? Mbona watu wanaingia mikataba ya miaka 10 na zaidi kwani hawajui kuna kufa au haya mashirika ya pensheni wanatuwekea mafao ya uzeeni wanajua tutafika? Hata kwenye job interview tunaulizwaga plan za miaka ijayo, lkn hatujibu "mi sio Mungu nitajuaje au nikifa je?" Hapa duniani wote tunajua tunapita lkn mipango yetu tunaipanga kama vile tutaishi milele, ikitokea tumekufa basi story inaishia hapo so msimkomalie mtoa mada kuhoji miaka 5 ya baadae ya Wema, nafikiri ameguswa na lifestyle ya hao masupastaa akapata shauku ya kutaka kujua baadae watakuaje, we ukiona uzi unakuboa pita kimya kimya.
 

ahsante kwa kunielewa!!
 
Mambo yatakua magumu kwao umejuaje? Wewe ni Mungu? Sometimes tuwe tunafikiria mambo ya maana.Wakati kama huu nchi ipo kwenye attention kubwa ya kura ya maoni ya katiba na uchaguzi mkuu wewe unawaza miaka mitano baadaye ya akina wema!

Nenda kwenye jukwaa la siasa kama unataka stress za uchaguzi.
 
Nenda kwenye jukwaa la siasa kama unataka stress za uchaguzi.
Mbona ndiko nilikohamishia majeshi siku hizi? Naenda na wakati bwana huku nakuja kupiga umbea kidogo.
 
Wewe umekuta ndizi nyama kwenu basi umevuta hand break unajua haviishi.
Bill gates anaweza .......
Utanijibu ooh dola billion 87 kuisha ni impossible.
Wewe kama unamkataba na mungu good for you.

Bill Gate ana insurance kibao, na maisha ya mbele kama unafanyakazi unalipa kodi, ikifikia huingizi pesa tena unabaki unakinga tu serikalini kila mwezi hakuna mambo ya kugongea 100 kama kwenu Mbagala. Kama unataka kuongea sijui ndizi nyama au mikataba ya Mungu unaruhusiwa, lakini watu kama Bill Gate hawana utajiri wa kubahatisha kama Kiswele bus service.
 
Mambo yatakua magumu kwao umejuaje? Wewe ni Mungu? Sometimes tuwe tunafikiria mambo ya maana.Wakati kama huu nchi ipo kwenye attention kubwa ya kura ya maoni ya katiba na uchaguzi mkuu wewe unawaza miaka mitano baadaye ya akina wema!

Nimekupenda bureee.....na umemjibu vzr kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…