Idara ya Uhamiaji Tanzania ambayo hivi karibuni ilizindua huduma ya Maombi ya Viza kwa wageni kupitia mtandaoni, Leo imetoa taarifa kwa Umma ambayo inasisitiza watumiaji wa huduma hiyo kuomba Viza kupitia website yao ya www.immigration.go.tz pekee.
Hili linakuja baada ya kubainika kuna website moja inayotumia anwani ya www.evisatanzania.com kuwaliza watalii wengi ambao wamefika katika viwanja vya ndege ya KIA na JNIA kuonekana wana Viza feki ambazo zimetolewa na hio tovuti feki.
It should be noted that possession of a Visa is not a final guarantee to enter the United Republic of Tanzania. The immigration officer at the port of entry may refuse the entry of a visa holder if he is satisfied that his holder is unable to fulfill the United Kingdom's immigration entry requirements.