Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Werema kila mara huwa ni mtu wa mwisho kuifundisha au hata kuipa CCM Tafsiri sahihi ya mambo.Leo imedhihirika tena.Sijui km huyu huyu jamaa wa kazi ya kichwa ni kutunza nywele km ataweza tusaidia sana kuishauri serikali ktk mgogoro wa malawi.MZEE WARIOBA KAMALIZIA KABISA.WEREMA HAYUPO KTK ELITE CLUB YA WANASHERIA WASIOFANYA KICHWA BUSTANI YA NYWELE