Werema mara zote kashindwa iongoza CCMkutafsiri sheria vyema....akina wassira walipita wakiongea ujinga , na yeye mwenyewe mara nyingi tuu kaleta shida bungeni kwa vitu ambavyo baadaye kashindwa ktk kutafsiri sheria.Fafanua mkuu Nicholas ! Sijakuelewa bado.
Vp kijana mbona uahema juu juu kiasi hiki/Werema kila mara huwa ni mtu wa mwisho kuifundisha au hata kuipa CCM Tafsiri sahihi ya mambo.Leo imedhihirika tena.Sijui km huyu huyu jamaa wa kazi ya kichwa ni kutunza nywele km ataweza tusaidia sana kuishauri serikali ktk mgogoro wa malawi.
kipigo cha kalenga kimemvuruga huyu nikolas, anahangaika kama mwehu. thred 20 hazina kichwa wala miguu. hata haya haoni???????
kipigo cha kalenga kimemvuruga huyu nikolas, anahangaika kama mwehu. thred 20 hazina kichwa wala miguu. hata haya haoni???????
Mkuu mbona mada haihusiani na uchaguzi wa Kalenga? Hivi ni lini mtaacha CCM na CHADEMA kulumbana and focus kwenye hoja za ukombozi wa taifa hili???
Haha..ccm wanatia huruma kuliko tunavyofikiri..Yaani watanzania wangeijua CCM kihasilia wangekuwa wamkufa kwa jinsi wangeona wasivyo salama..ulishawahi ona mtu kaweza headphone masikioni halafu unampigia kelele kuwa anamwelekea nyoka..ambaye tayari anatupa mate halafu hakusikii...na alipfika nyoka akataka gonga wakati jamaa anainua atua hakulengwa.?unaweza pata tofauti za hao watu aliyekoswakoswa na aliyeona hilo tendo.CCM ktk nchi ndivyoHilo ndilo tatzo kuu la ccm mkuu,hata mimi sijawahi kuwaelewa wanaleta uchama kwenye mambo ya msingi. Wewe huoni Werema alikula shavu hilo sababu ya ukada na siyo uwezo?
kipigo cha kalenga kimemvuruga huyu nikolas, anahangaika kama mwehu. thred 20 hazina kichwa wala miguu. hata haya haoni???????