Baada Ya Mo Dewj Kunyimwa Simba, Msimu Huu wa Simba Utakuwa mbaya kuliko yote

Baada Ya Mo Dewj Kunyimwa Simba, Msimu Huu wa Simba Utakuwa mbaya kuliko yote

MO ameshatengeneza mgogoro kabla ligi haijaanza,ikiianza sisi tutaendeleza dozi baadae mtasema tunanunua mechi
 
Hawezi kumwaga pesa mahali ambapo hatokuwa na mamlaka ya kusimamia matumizi ya pesa hizo. Hicho ndicho kilichomwondoa Simba na Singida United. Huwezi weka pesa yako mahali halafu watu wanaitumia vibaya nawe unaona lakini huna nguvu ya kudhibiti. Anataka hisa asilimia 51 ili aweke menejimenti yeye. Awe na nguvu ya kuhoji na kuwajibisha.

Mkuu hiyo 51% kuwa Bill 20 hiyo hesabu kaipata wapi? Isije ikawa undervalued!
 
Huyu jamaa aache upuuzi 20 billion ni chache kununua simba, brand yenyewe ni zaidi ya billion 20 zao.
 
Kuna watu wanapiga sana hela pale wao wapo kwaajili ya matumbo yao! haiwezekani Azam na Yanga bajeti zao ni mara mbili ya Simba! Club apewe Mo
 
Mkuu hiyo 51% kuwa Bill 20 hiyo hesabu kaipata wapi? Isije ikawa undervalued!
Inaweza isiwe na thamani hiyo. Lakini, wakati mwingine ni bora hivyo kuliko hali ya sasa.
 
Bil 20 ni hela ndogo? Huyo ni mwanaume mwenzako anazitoa wew kaje na mil 200 tu upewe hisa zote 100%
Umasikini kitu kibaya sana, hiyo hiyo sinpesa ya kununua assets tu za simba[emoji15] [emoji15] [emoji15] lile jengo pale katikati ya jijji kariakooo unajua lina thamani gani? Fikiria pia brand ya simba nimkubwa sana hiyo pesa ndilogo shida ni kwamba uendeshaji wakw ni wa kipuuzi kuna wapiga peaa tu basi!

Mkakati uwe hivi wauze hisa kwa wanachama then waajiri kampuni ya kuiendesha simba kibiashara ibaki kugawa faida ikitokea hivyo.
 
Hiv huyu Aveva ana nguvu kulko wanachama wa Simba/ fan's mnamuendekeza..Simba ni ya watu na watu wameamua kumpa Dewji maana wanataka raha na si vinginevyo..
#Nitafurah kuona simba mnarud hata katika kanafasi kapili maana sisi kama Yanga pale 1 tumejichimbia miaka buku"
Point 1Afc
 
Moja kati ya timu ambazo Yanga alipiga mbele-nyuma (yaani, kampa ... kampa tena) ni Simba. Ina maana Yanga alinunua mechi za Simba au kwa maneno mengine Simba ni ____ poa?

Mimi nawashangaa sana wamatopeni. Kwani wakati ule Simba inafadhiliwa na Azim Dewji, tulikuwa hatuwabandui nyie?

Halafu mihemko ya kuzungumzia mechi za Yanga, mnaishia kwenye matokeo au mnaangalia na kiwango cha mpira kinachopigwa? Kama Yanga amenunua mechi, siku mliotandikwa bao moja (cha nguruwe) na Toto Africa, na wao walinunua mechi? Hebu acheni mambo ya kipuuzi, jadilini mambo yenu ya hina huko, mwanaume muacheni.

Kwa kuwasaidia tu...NI YANGA TU NDIO ILIWAHI KUTOKA NJE YA MIPAKA NCHI, IKATIMUA TIMBWILI NA KUJA NA NDOO HOME. Nyie ni mama wa nyumbani, kama kwenye kabati lenu kuna chochote, basi kimepatikana hapa hapa nyumbani. Ubavu wa kwenda kwenye ardhi ya watu kukinukisha nyie hamna. Mbwa koko habweki ugenini...kaeni kimya

View attachment 373936
Nywere ww
 
Ili soka ikue lazima moja ya timu ipotee kwenye ligi kuu yanga ama simba au zote simba na yanga.
 
Mie namsangaa huyu MO kujitokeza kwa nguvu sasa hivi kuitaka Simba. Hakufanya hivo enzi ya JMK kwa miaka kumi ila JPM sasa ni miezi tisa tu, kaona nini?
 
Ndo tatizo la kuanza kushabikia mpira juzi... Hivi hujui simba ilibeba kombe la kagame mara mbili ndani ya mwaka mmoja na la mwisho ni kenya kwa kuifunga asante kotoko ya ghana na tusker ya kenya? Usijiaibishe ulivyo mtupu kwa hilo

SIMBA
1974 Simba ? - ? Abahluya Host Tanzania
1991 Simba 3 - 0 Villa Host Tanzania
1992 Simba 1 - 1 Young Africans Host Zanzibar (Penati 5-4)
1995 Simba 1 - 1 Express Host Tanzania (Penati 5-3)
1996 Simba 1 - 0 APR Host Tanzania
2002 Simba 2 - 0 Prince Louis Host Tanzania

YANGA
1975 Young Africans 2 - 0 Simba Host Zanzibar
1993 Young Africans 2 - 1 Villa Host Uganda
1999 Young Africans 1 - 1 Villa Host Uganda (Penati 4 -3)
2011 Young Africans 1 - 1 Simba Host Tanzania
2012 Young Africans 2 - 0 Azam Host Tanzania

Salaam aleikhum kwako...unaweza kunionesha ni mwaka upi huo unaouzungumzia wewe wa Simba Koko kubweka ugenini?

Kwa taarifa yako:
Mara ya mwisho Simba Koko kubeba kombe hilo ni miaka 14 iliyopita.
Mwaka 1967 Simba ikitumia jina la kigeni 'Sunderland' ilibamizwa mijigoli 5 - 0 na Abaluhya ya Kenya ambayo ndio mibao mingi mtu kukung'utwa kwenye fainali. Haiwekwi kwenye kumbukumbu kwa kuwa michuano haikuwa rasmi.

Sinayo kumbukumbu ya Asante Kotoko ya Ghana (West Africa) kucheza Kagame CUP (Klabu Bingwa ya Africa Mashariki na Kati)

Siku nyingine ukitaka kuongea na mimi, anza na shikamoo!
 
SIMBA
1974 Simba ? - ? Abahluya Host Tanzania
1991 Simba 3 - 0 Villa Host Tanzania
1992 Simba 1 - 1 Young Africans Host Zanzibar (Penati 5-4)
1995 Simba 1 - 1 Express Host Tanzania (Penati 5-3)
1996 Simba 1 - 0 APR Host Tanzania
2002 Simba 2 - 0 Prince Louis Host Tanzania

YANGA
1975 Young Africans 2 - 0 Simba Host Zanzibar
1993 Young Africans 2 - 1 Villa Host Uganda
1999 Young Africans 1 - 1 Villa Host Uganda (Penati 4 -3)
2011 Young Africans 1 - 1 Simba Host Tanzania
2012 Young Africans 2 - 0 Azam Host Tanzania

Salaam aleikhum kwako...unaweza kunionesha ni mwaka upi huo unaouzungumzia wewe wa Simba Koko kubweka ugenini?

Kwa taarifa yako:
Mara ya mwisho Simba Koko kubeba kombe hilo ni miaka 14 iliyopita.
Mwaka 1967 Simba ikitumia jina la kigeni 'Sunderland' ilibamizwa mijigoli 5 - 0 na Abaluhya ya Kenya ambayo ndio mibao mingi mtu kukung'utwa kwenye fainali. Haiwekwi kwenye kumbukumbu kwa kuwa michuano haikuwa rasmi.

Sinayo kumbukumbu ya Asante Kotoko ya Ghana (West Africa) kucheza Kagame CUP (Klabu Bingwa ya Africa Mashariki na Kati)

Siku nyingine ukitaka kuongea na mimi, anza na shikamoo!
Umeropoka vizuri... Nadhani ukiamkiwa unahisi ndo utakuwa unaelewa sana, kwa ufahamu wangu ni kwamba kwenye store yetu vikombe vingi tu vipo hadi tusker ambalo tumebeba mara nne niambie wewe na hiyo yanga yako mlichukua mara ngapi... Hilo kagame unabwabwaja hapa na bado rekodi ya simba hamjaifikia, sijui mkiifikia mtaharishaje
 
Umeropoka vizuri... Nadhani ukiamkiwa unahisi ndo utakuwa unaelewa sana, kwa ufahamu wangu ni kwamba kwenye store yetu vikombe vingi tu vipo hadi tusker ambalo tumebeba mara nne niambie wewe na hiyo yanga yako mlichukua mara ngapi... Hilo kagame unabwabwaja hapa na bado rekodi ya simba hamjaifikia, sijui mkiifikia mtaharishaje
Nilikuelekeza kuwa unapotaka kuongea na mimi, ANZA NA SHIKAMOO.

Hoja yako unaikwepa unaanzisha vurugu kama za mikutano yenu. Tuanzie hapo kwanza, zitaje hizo mara mbili Simba ilichukua Kagame nje ya mipaka ya Jamhuri. Halafu ulivyo mtupu kichwani, hata hujui kuwa Ghana iko Afrika Magharibi...una ubongo au uharo?

Jibu hoja yako, onesha huo Mwaka Simba Koko imeshinda fainali nje halafu tuendelee na hayo mengine ya mimi kubwabwaja yatafuata. Unaleta uongo uongo hapa, ebo!
 
Back
Top Bottom