Baada ya Mo Dewji kupost pesa ya usajili Tsh Bilioni 3, Barbara naye ajibu

Sijui mwamedi kamkosea nini binti wa watu 😂😁kila akiweka porojo, zinajibiwa faster.
 
Kama amemjibu Mo basi huyu demu atakuwa anamtaka boss. Au kuna kitu amepoteza kwa Mo kinamuuma!
 
Babra ana kitu huyu asipuuzwe, [emoji1787][emoji23]

Kama Mo DEWJI katoa 3 B MFUKONI KWAKE , 5 .4 B za super leage alizopewa Simba na CAF zimefanya nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…