Baada ya Mo Dewji kupost pesa ya usajili Tsh Bilioni 3, Barbara naye ajibu

Baada ya Mo Dewji kupost pesa ya usajili Tsh Bilioni 3, Barbara naye ajibu

Muda mfupi baada ya Mwekezaji wa Simba SC, Mo Dewji kuchapisha ujumbe kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akidai kutoa karibu bilioni 3 kwenye usajili wa msimu huu aliyekuwa CEO wa klabu hiyo Barbara Gonzalez amechapisha ujumbe unaodhaniwa kuwa amemjibu bosi wake huyo kwa zamani.

Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii Barbara ameandika “A magic trick only works if the audience allows themselves to be fooled.” akiwa na maana ya “Janja janja za kichawi hufanya kazi pale tu hadhira inaporuhusu kudanganywa"

Na. @JeremiahSulle

#KitengeSports

NB: hawa ndugu wanashida Gani[emoji23][emoji23]View attachment 2713751

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwani walishamwagana?
 
Mwanakudinywa ni mwanakulegea na ni mwanamakelele tena ya mdinyo huwa haishi makelele ya mdinyo
 
Usikute yeye anasemeshana na mke mwenzake si tunaamini anaongelea soka na Simba binafsi sidhani
Mwanamke akiandika maneno hayo ujue anamzungumzia mwanamke mwenzake
 
Kwani walishamwagana?
Leo mbna kitambooo, akapokea prezoo muhandisi, mara boss was CAF, kuja kushtukaa yuko na kipara ngoto wa luku na wameleta kichanga ulimwengunii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Amkosee nn? Umalaya wake ndo ulimponzaaa.
Atulie alee kichanga cha kipara ngotooo
Shangaa na wewe,azalishwe na kina Shemahonge,hasira amalizie kwa Tajiri MO,apeleke kichanga kwa Mzee wa Wazuri hawafi akapambane na mke mwenzie aliyemkuta.Na bado stress zitammaliza,alidhani kupora mume wa mtu ni rahisi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Leo mbna kitambooo, akapokea prezoo muhandisi, mara boss was CAF, kuja kushtukaa yuko na kipara ngoto wa luku na wameleta kichanga ulimwengunii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kwa kiparangoto ameyakanyaga sana na bado ataropoka kila kitu kwa stress.Bi Mkubwa shikilia hapo hapo mpaka stress za kukupora mume na kulea kichanga zimtafune kabisa na hicho kimwili kimalizike[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom